Mimi ni shabiki nguli wa Yanga sc nasema hivi Simba haina mpinzani ndani ya nchi hii, na itaendelea kutawala itakavyo kwa miaka mingi tu.
Kwa haya machache niseme tu Congratulations Simba Sc Tanzania for winning VPL.
Tamthilia ulizozitaja hapo juu zinapatikana kupitia DSTV, kwenye kifurushi cha bomba 19,000.Pamoja na Tamthilia nyingine nyingi.
Bei ya DSTV full set ni Tsh 99,000 ufundi 20,000. Unapata kifurushi cha Family 29,000 mwezi mmoja bure.
Kazi kwako Mkuu Kaluluma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.