Recent content by Oya Tusepe

  1. Oya Tusepe

    Zilizovuja kumbe zilikuwa ni zenyewe bwana Yanga bingwa tena kwa kufaulu nje ya uwanja

    Michiro ya huu uzi imekaa kishamba sana mfanano wa enzi za mabitozi wa kisukuma kuchora majaketi kwa kutumia rangi ya nyumba
  2. Oya Tusepe

    Wenye akili waliobaki Tanzania ni wasiyojihusisha na siasa au dini

    Siasa sio mbaya sana ila dini kuna watu wanazitumia vibaya. kuna mama nipo nae hapa napoishi yani mpaka akiona Jongoo anakemea, Mende anakemea, hapatani na watu wengi sana. Ukimpinga kwa chochote anakuita Mtesi, na ikifika usiku anakuweka kwenye maombi ya "vita" yeye anasema (ana kupelekea moto)
  3. Oya Tusepe

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    "Maisha tuliyonayo ni mafupi, Tumshukuru Mungu wa mbinguni kwa wema wake.."
  4. Oya Tusepe

    Watu waliotajwa zaidi kwenye nyimbo za kikongo

    Labda niseme tu kwa Kilingala kwamba "Bomoi ezali makuse, Topesa Nzambe ya Lola matondo mpo na bolamu na ye"
  5. Oya Tusepe

    GE2025 Hatutoi Fomu za urais. Hamtaki hameni chama

    "mkaye" ni nini?. Bila shaka wewe ni mkongo, usiingilie mambo ya watanzania.
  6. Oya Tusepe

    GE2025 Kuanzia tarehe 19 Julai, "She will lose total control of Her Government"

    Chama cha watoto wa mjini, walishasema 😃
  7. Oya Tusepe

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Mimi binafsi mambo ya kishirikina nimekutana nayo tangu nikiwa mdogo sana. Katika yote, kuna tukio la kishirikina lilinipata nikiwa naishi paleTegeta mitaa ya Kwandevu, asee sio poa. Nilishtuka usingizini usiku mnene na kujikuta kuna mtu kakaa mgongoni kwangu LIVE mimi nikiwa nimelala...
  8. Oya Tusepe

    Baada ya Yesu Kristo hakuna mtu bora kama Museven!!

    Serikali ya Uganda ni Serikali ya Tz iliyochangamka
  9. Oya Tusepe

    PreGE2025 Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa, waachiwe haraka na bila masharti

    Kwa usichokijua tu ni kwamba Roman Catholic ni utawala kamili wa mwilini na rohoni, kwahiyo kwa hoja ya kwamba viongozi wa kidini wasiingilie mambo ya utawala ujue tu sio kwa dora ya Roma
  10. Oya Tusepe

    Kijana wa miaka 29 auawa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu, mume akamatwa

    Madhara ya dhambi ni makubwa sana, tupunguze dhambi watu. Be good, Do good.
  11. Oya Tusepe

    Kwa wale wana CCM mnaoutaka Urais 2030, Je mtaiweza nguvu ya Ridhwani Kikwete?

    Huo ndo utaratibu wa Mizimu, uliza wahenga 👀
  12. Oya Tusepe

    Kwa wale wana CCM mnaoutaka Urais 2030, Je mtaiweza nguvu ya Ridhwani Kikwete?

    Msisahau kwamba anayetakiwa 2030 ni mkristo 😅, msituone tumekaa kimya
Back
Top Bottom