Recent content by otimbiotimbi

  1. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  2. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Faini

    Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya...
  3. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Nifanyaje mwanangu ndoto yake ni kuwa polisi

    Hakuna shido we mwenyewe si unaona?😂😂
  4. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Serikali punguzeni customs vijana wanunue chuma kama hiki

    Mkuu nisaidie contacts zao inbox kama hutojali ,gari yangu wiki ya pili sasa iko gereji. Naambiwa programmer hakuna mpaka ecu na body control vitumwe china! Quote
  5. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Fundi /programmer wa volvo V40

    Imepoteza mawasiliano kati ya engine control unit na remote yake. Chanzo ni kudisconnect terminal ya betri wakati limoti yake ikiwa kwenye position yake
  6. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Fundi /programmer wa volvo V40

    Habari ndugu zangu,naomba tupeane connection hapa za fundi/programmer mzuri wa volvo v40 T4 ya 1600cc petrol 2014 model Anatakiwa fundi mzuri sio wa kubahatisha ,yaani anayeijua hiyo gari vizuri.
  7. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Serikali punguzeni customs vijana wanunue chuma kama hiki

    Yupi huyo mtaalamu please share contacts zake
  8. otimbiotimbi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WhatsApp yangu imejifunga mara mbili. Changamoto itakuwa ni nini?

    Hio simu ni oppo?
  9. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kijiji sijakitaja mniambie🤣🤣

    Mbezi ● Kibaha Stendi ● Kwa Mathias ● Misugusugu ● Visiga ● Mlandizi ● Ruvu ● Vigwaza ● Vigwaza Mizani ● Chalinze Chimbadawa ● Msolwa ● Mdaula ● Ubena Zomozi ● Njiapanda Mwidu ● Mikese ● Mkambarani ● Kingolwira ● Msamvu ● Msamvu RoundAbout ● Mindu ● SangaSanga ● Lugono kwenye Nyama Choma ●...
  10. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Muhimu nimepata kushinda

    Muhimu ninepata pa kushinda.😂😂
  11. otimbiotimbi

    JamiiForums Tanzania Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

    TOKA PEPO MCHAFU WATU TUNAUMWA UNALETA UTAPELI WAKO HUKU NYOKO KWELI!! ETI TULIA MIKOPO ,ALO MSISAVE HII NAMBA TAPELI HILI
Back
Top Bottom