Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya...
Mkuu nisaidie contacts zao inbox kama hutojali ,gari yangu wiki ya pili sasa iko gereji. Naambiwa programmer hakuna mpaka ecu na body control vitumwe china!
Quote
Imepoteza mawasiliano kati ya engine control unit na remote yake.
Chanzo ni kudisconnect terminal ya betri wakati limoti yake ikiwa kwenye position yake
Habari ndugu zangu,naomba tupeane connection hapa za fundi/programmer mzuri wa volvo v40 T4 ya 1600cc petrol 2014 model
Anatakiwa fundi mzuri sio wa kubahatisha ,yaani anayeijua hiyo gari vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.