Recent content by othuman mustapha

  1. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya benki inatumika kishirikina na hailipiki hadi wakufilisi

    Kikubwa zaidi kifaamike jambo linapokatazwa mungu basi mwanadamu tambua linamadhara yawezakana usiyapate apo duniani ila kesho akhera ukajuta au duniani ukapata madhara na kesho akhera ukapata madhara makubwa zaidi.
  2. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Naomba kusaidiwa mwenye elimu ya kilimo cha tikiti, ipi miezi mizuri ya kuanza kilimo hicho?

    Naomba kusaidiwa mwenye elimu ya kilimo cha tikiti IPI miezi mizuri ya kuanza kilimo icho
  3. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Ushauli naomba mda au miezi mizuri ya kulima tikiti
  4. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    Kwa iyo tabia IPO siku unaweza mtukana ata MZAZI wako
  5. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    Nimesikia J4 mmiliki wa mabasi ya J4 Exp amehukumiwa miaka 30 kwenda jela. Mwenye uhakika atujuze.
  6. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Babu wa Loliondo ajiandaa kwa mafuriko mapya

    Alitakiwa awe jela make alichokifanya 2009 ni utapeli wa uhai wa binadamu
  7. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania CHADEMA msaidieni Khaji kiruku

    Huyu Khaji kiruku alikuwa mgombea udiwani kata ya Bisumwa wilaya ya butiama kwa ticket ya ukawa.
  8. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania CHADEMA msaidieni Khaji kiruku

    Chadema msaidieni Khaji kiruku
  9. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Eritrea yatoa amri kila mwanaume kuoa wake wawili

    Wengi katika watu hupinga mtu kuowa Mke wa pili ila ukiwachunguza wanavimada!!!
  10. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni hili: Ubakaji wa mwanafunzi wa form six mwenye umri wa miaka 16

    Kwa hesabu ameanza shule ya msingi akiwa na miaka minne
  11. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA wilaya ya Butiama msaidieni Khaji Kiruku

    Viongozi wa chadema wilaya ya BUTIAMA msaidieni Khaji kiruku
  12. othuman mustapha

    JamiiForums Tanzania Wawili wafariki, mmoja apooza kwa mstuko wa bomoabomoa

    Mie namwoomba rais magufuri chonde chonde awasaidie wananchi wake awo wa mabondeni awape viwanja bure vilivyopimwa pia serikali yake iwasaidie kuwajengea Nyumba za bei nafuu ili wananchi waweze kuendelea na maisha yao kama binadamu wengine.pia mweshimiwa rais unatakiwa kutambua Kuwa awo...
Back
Top Bottom