Babu wa Loliondo ajiandaa kwa mafuriko mapya

Babu wa Loliondo ajiandaa kwa mafuriko mapya

sikubaliani nawe,nawafahamu watu wa2 ambao wamepona kabisa baada ya kwenda kwa babu,kuna mmoja alikuwa anasumbuliwa na sukari hadi hospitali walimzoea kama nyumbani kwake
Duh...........nafuta kauli kwa ushahdi wako.
 
Kipato kimeshuka sana toka milioni tisa kwa siku hadi elfu tano. !? Hapo anahaki ya kubuni kikombe kipya.
 
Kuna dini zingine zipo kwa ajili ya utapeli tu
 
mtu yeyote anayeweza kutujuza mti huu kitaalamu unaitwaje?

.

MTI WA DAWA
Akiuzungumzia mti wa dawa ya kikombe, Babu Masapila alisema siyo mpya na wengi wanaufahamu kwa majina taofauti.

“Mti wa dawa ninaotoa unajulikana kwa majina tofauti kulingana na makabila husika. Wairaqw wanauita Titiwi, Wakurya wanaita Mkarakara na Wamasai wanauita Ngamriaki," alisema.
 
Kikombe episode 2..
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Uongo mbaya ninamfahamu mtu aliyesumbuliwa sana na sukari lakini alivokunywa kikombe babu alimwambia nenda kanywe soda bila shida. Huyu mtu hadi kesho anakunywa Fanta orange na hajawahi kunywa dawa za sukari tena wala kisukari hakijulikani kilipotelea wapi. Ni jirani yangu. Hiyo kikombe sijui kwa nini kiliweza kutibu baadhi ya Watu na kutotibu baadhi. Tena ni Watu wawili naowahamu walipona kisukari kabisaaa. Mmoja nikimtaja humu nina uhakika Kuna wana jf wanamjua. Sina haja ya kudanganya. Ninafamu Watu wawili walipona sukari kwa kikombe cha babu. Pia ninamfahamu mtu Mmoja jirani yeye Ana ukimwi na alikwenda kunywa kikombe lakini yeye hakikumsadia kabisa hadi Leo ukimwi bado unampiga sana tu hadi kaamua kuokoka. Sasa hapa ndo huwa nashindwa kuelewa kikombe ilikua ni dawa ya magonjwa yote au kisukari tu. Je kilikua kinabagua Watu au?
 
Kama ningekua na kisukari hata kesho ningekwenda kwa babu. Maana mimi kweli nina ushahidi wa Watu wawili kutibiwa kwa mafanikio na kikombe cha babu
 
Back
Top Bottom