Recent content by othiniel

  1. O

    Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Nimechunguza sana mikutano hii nikagundua wanaohudhuria mikutano ya Ccm karibia wote wamevaa sare za chama kuonyesha ni waandaliwa na ni wale wanaccm wenye vimadaraka ila ukawa ni wananchi wa kawaida wenye uchungu na nchi yao.
  2. O

    Mwigulu: Wanaohama CCM wanasaka madaraka ili kulipa madeni

    Ccm wametoa hela nyingi sana kuharibu upinzani lakini upinzani ndio unazidi kuimarika,walianza na wakina lamwai,Ngawaia, kaburu, Zito,sasa wamempata lipumba,kwa kuwapa hela nyingi
  3. O

    Huu ndio ukweli unaomuhusu Lowassa, Prof. Lipumba, Dr. Slaa, Seif na Mbowe

    Hivi kama MTU hana mada ni lazima upost hata Utumbo? Jamani kuna mambo ya msingi ya kuzungumzia sio mautumbo haya
  4. O

    Hii ni vita kati ya Lowassa na Kikwete na sio CCM na UKAWA--NANI MSHINDI?

    Hizo hela wanazotumia kuhonga Heri wangeficha zije kuwasaidia watakapokuwa bench, maana hata wahonge nani mwendo tunaotembelea huwezi simamisha ghafla watu wakawa salama hivyo ni kunyooka tu mpaka magogoni
  5. O

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Huyu Jamaa aliyeleta hii mada hajielewi, hajui kuwa kingereza ni lugha ya walevi? Wewe nenda bar yoyote waone watu wakiwa hawajalewa wanaongea vizuri kiswahili ila wakishalewa wanaanza lugha special ya walevi, kujua kingereza hakuna uhusiano na kuwa kiongozi bora
  6. O

    CCM imepaniki?

    Nimefurahi kuona video clip ya mama aliyevaa nguo za rangi ya inzi wa chooni akikatiza mbele ya wamachinga na kuzomewa kuwa ni mwizi, duu ina maana wananchi mitaani karibia wote ni ukawa?
  7. O

    John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

    Toa kura yako kwa kutaja jina la Mgombea unaemhitaji awe rais Kati ya Magufuli na Lowasa, taja jina tu.
  8. O

    Lowassa anasafishwa!

    Lowasa amejisafisha vizuri maana amesema mwenye ushahidi wowote kwamba yeye Lowasa ni fisadi aende mahakamani, kama hakuna basi kimya kisikike acheni vuvuzela, shut up and keep quite
  9. O

    Kama hali ndio hii Simiyu, kazi ni ngumu kwa Magufuli

    Ccm walishajifia hakuna wanapokubalika hata hapa nyumbani kwangu hakuna inzi wa kijani wote nimewaua tangu mwaka 2010
  10. O

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Vipi geita mjini,mwenye matokeo tafadhali
  11. O

    Morogoro: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa na polisi, vurugu zaibuka!

    Nashangaa kuona serikali inayotumia nguvu za silaha kudhoofisha nguvu ya umma na demokrasia.Ukiwa kinyume na mawazo ya serikali ya Tanzania au hukubaliani nayo, tegemea kufa kwa risasi. je, wataweza kuwamaliza watanzania wote?
  12. O

    Ombamba maarufu, Matonya, afariki dunia

    Ombaomba wa kitaifa ametutoka tumebakiwa na omba omba wa kimataifa jk
  13. O

    mkutano wa chadema geita-utitiri wahudhuria

    Si uongo yaonekana uozoea kudanganywa ni wazi kuwa chadema wanakubalika
Back
Top Bottom