Mtazamo wangu mimi,nyumba ya kupangisha inafaa zaidi kwasabu,miji inakua hivyo lakitano ya nyumba kwa mwezi,ndani ya miaka 2 lazima iongezeke,hivyo inapanda thamani kila uchao
Jamani hivi imefikia wapi hili swala,maana hata mheshimiwa raisi Mama Samia,analijua hili,mlioko juu na mnaweza kupenyeza ujumbe kwa mheshimiwa raisi tusaidieni watu wanazidi kupungua kwa vifo,ili hali bado hawajapata stahiki zao
Alooo si mchezo UKIMWI ni hatari,nimekaa miaka 6 Njombe ila niliyo yaona kuhusu gonjwa hili ni shidaaa,maaneo ya lutilage,chaugingi,mlevela,kibena shule,nzengelendete,lupembe daaa nashkuru niliondoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.