chuma chinyonje
Member
- Apr 15, 2022
- 20
- 41
Nawatafuta service men wenzangu tuliokula nao msoto pale 835kj intake ya kwanza kabisa 2013 operation miaka 50 ya JKT Kwa mujibu wa Sheria .Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com