Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Nawatafuta service men wenzangu tuliokula nao msoto pale 835kj intake ya kwanza kabisa 2013 operation miaka 50 ya JKT Kwa mujibu wa Sheria .
 
Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Ahazi Mwakatobe napiga nae mzigo sehemu nicheki PM nikuunge nae.
Kibosi Joachim nilikuwa nae Kibaha mara ya mwisho alikuwa mgodini Kahama kama sikosei,ila nikicheki na wadau atapatikana tu.
Karibu.
 
Namtafuta mwanadada mmoja alikuwa akisoma Mwanza Secondari kidato cha nne 2017 mchepuo wa biashara! Shombe shombe hivi, mpole, mwenye aibu na utoto mwingi mwingi! Anaitwa Janeth! Kama kuna rafiki yake atakayekutana na mtafuto huu amjulishe tafadhari!

Ujumbe:
Kwanini alipotea pasi na kuniachia mbususu niichakate wakati tayari ana nakupenda yangu?
 
Namtafuta mwanadada mmoja alikuwa akisoma Mwanza Secondari kidato cha nne 2017 mchepuo wa biashara! Shombe shombe hivi, mpole, mwenye aibu na utoto mwingi mwingi! Anaitwa Janeth! Kama kuna rafiki yake atakayekutana na mtafuto huu amjulishe tafadhari!

Ujumbe:
Kwanini alipotea pasi na kuniachia mbususu niichakate wakati tayari ana nakupenda yangu?
Hii sasa kesi.
 
namtafuta wa kipenzi changu wa zamani ,anaitwa Alice Daudi,huyu alipaswa kuwa wife wangu,sema tukapotezana miaka ya 2002 ,alikuwa ana school enzi hizo pale kondoa girls.
 
Nawatafuta Kesibe Elias, Ahazi Mwakatobe, Kibosi Joachim, Kemilembe Kamugisha, Fabian Mlozi, Maria Samson Tikiti, Tusekile Anangisye, Lilian Ndomba, Good Tarimo, Nolasco Mkole, Alfa Ntayomba, Gena Jabiri, Maria Samson, Hamisi Selemani Lieme, Kamote Bakari, Paul Mwanda, Iluminata Constantine, Hawa Noor na wengine wanaonifahamu. Napatikana kwa E-mail hmisayo6@gmail.com
Namtafuta Lightness L Maucky a.k.a Lila Maucky . Popote ulipo upatapo ujumbe huu tutafutane nimekukumbuka sana. Huyu mtoto alikuwa na swagger za Hannah Montana, si wakulishwa ugali misumali au vipande vya mihogo. Ni bonge la mtoto wa kulishwa hot dogs and capachino
 
Back
Top Bottom