watu wanapenda sana kuconclude na one side story,,,,,,,maswali ni mengi ya kujiuuliza hivi kwelii mwanamke akukebee mimba alaf akatae kwenda kutambulishwa!!!!!!kwa upande wa kutoka hospital unazijua mila za kwao,,,,,,,maana kuna makabila mengine uzazi wa kwanza lazima aende kwao ,,,,,,wakati...