Nazungumzia AC ya kawaida yenye btu 12000 kwa masaa 10 unatumia unit 6 hadi 8 na zile AC za inverter unatumia unit 4 hadi 6 kwa masaa 10, nasema kwa uzoefu wangu, so kama unalipa bili ya sh 50,000 kwa mwezi ongeza 30,000 kwa ajili ya AC
Wee lipia tu ziko poa sana hazikwami kwami kama za wengine, ila siku wakija kufunga pika pilau ufanye Sherehe kabisa maana mimi nilisumbuana nao mwaka mmoja ndio wakaja wiki iliyopita
Usalama upo mkubwa sana sababu ni ya serikali, kuna mifuko mingi ya kuwekeza ndani ya UTT ila nakushauri wekeza mfuko wa Liquid kwani kwa mwaka ni asilimia 12 na huwa inazidi hadi 14 na unaweza kutoa pesa zako within 3 days of work, au unaweza ukawa unatoa kila mwezi ile faida yako inayozidi...
Btu 18000 ni kubwa sana kwa chumba cha kulala sijui ukubwa wa chumba chako, nimefunga ya btu 12000 na ni non inverter naona iko poa sana, ukifunga elekeza kitanda chako kilipo inakuwa inapuliza vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.