Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 727
- 1,846
- Thread starter
- #21
Sijui mkuuMBEZI MWISHO LINI?
Sijui mkuuMBEZI MWISHO LINI?
55k tu mzeeKwa mwezi bei gani unalipia
Wee lipia tu ziko poa sana hazikwami kwami kama za wengine, ila siku wakija kufunga pika pilau ufanye Sherehe kabisa maana mimi nilisumbuana nao mwaka mmoja ndio wakaja wiki iliyopitaAisee zimefika nyumbani kwangu, ila Kabla sijalipia nataka kupata kwanza feedback kutoka kwenu wadau, ziko vizur hizi router za TTCL??
Temboni upo ndani kidogo mitaani au ni karibu sana na Morogoro Rd?Nadhani mbezi bado
Aisee mm hata sijawaomba, wameniletea wenyew na wameniekea bure mm kazi yangu ni kulipia tu.Wee lipia tu ziko poa sana hazikwami kwami kama za wengine, ila siku wakija kufunga pika pilau ufanye Sherehe kabisa maana mimi nilisumbuana nao mwaka mmoja ndio wakaja wiki iliyopita
Ndani-ndani mzeeTemboni upo ndani kidogo mitaani au ni karibu sana na Morogoro Rd?
Kama ni ndani ndani basi haikosi kuwa hiyo huduma imeshafika Mbezi mwisho maana geographical kule ni mjini kuliko uelekeo wa Saranga.Ndani-ndani mzee
Ndio inafungwa huko, angalia kwenye nguzo utaona mabox mweupeMBEZI MWISHO LINI?
Sehemu Gani mkuuLipia haraka.. hapa nyumbani nawasubiri tangu mwaka jana hawajaja