Mkibanwa mnapiga kelele, haya zai wa watu kaamua haya mmewangu oa kuliko mchepuko... basi mnapiga kelele....
Da zai ruhusu ata wake wa nne itapendeza zaidi
Habari wapendwa....
Simu yangu ya Huawei G7 inatatizo week sasa, haiwaki ukichaji inawasha Sensor tu kuashiria inachaji lakini ukiiwasha inaandika tu huawei ascend inakaa hivyo hivyo mpaka chaji iishe ndio inajizima.
wakuu kwa anayefahamu nipeni japo mwangaza nijue pa kuanzia
23
yote yanajaa
hapana hayatoi maji wala chochote
yana ulaini wa kawaida
hayatoi vinundu
yanajaaga zaidi nikijaribia period, nikiingia hayapungui sana yani yanapungua kidogo uzito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.