szarkey
Member
- Aug 12, 2014
- 87
- 69
Mmm dada usithubutu kama hujajipanga.. Kilimo kinatak subira na pesa ya kutosha maana kama unaanz unakuw mkulima mdogo na unategemea zaid Hali ya hewa, kama unavyojua hali ya hew ya Tz haielewek kwa kwel so jipange kwanza usifanye kwa kuw tumesema kilimo kwa Kwanza..ngoja na mimi niwekeze kwenye kilimo kwakweli, na mji nahama soon
Fany endapo unahisi upo tayari na una pesa ya kujitoshereza