Habari Wakuu
Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.
Najua hatua ya kwanza natakiwa niende Brela, lakini baada kumalizana na Brela sijui zinafuata hatua zipi ili kampuni iweze kufanya kazi kihalali hapa inchini.
Thanks.
Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.
Najua hatua ya kwanza natakiwa niende Brela, lakini baada kumalizana na Brela sijui zinafuata hatua zipi ili kampuni iweze kufanya kazi kihalali hapa inchini.
Thanks.