Biashara ya kampuni ya usafi (cleanig company)

ENGI

Member
Aug 4, 2013
24
10
Habari Wakuu

Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.

Najua hatua ya kwanza natakiwa niende Brela, lakini baada kumalizana na Brela sijui zinafuata hatua zipi ili kampuni iweze kufanya kazi kihalali hapa inchini.

Thanks.
 
kama unahitaji ubia nipo tayari na nina uzoefu wa ku -source vifaa vya usafi
 
noted mkuu... Thanks

karibu sana tukuhudumie, tujadili, uone uwekezano, ila we normally do such assignments to our valued customers...... From document preparation to registration with brela!!
 
karibu sana tukuhudumie, tujadili, uone uwekezano, ila we normally do such assignments to our valued customers...... From document preparation to registration with brela!!

OK IPILIMO. Kwa sasa nimeshaanza mchakato wa BRELA.. Nikimalizana na Brela naweza kukutafuta kujua way forward na niweze kusajiri kwenye institution nyingine kama TRA na halmashauri. Ntashukuru kama utanisaidia kujua Kampuni ya usafi ina operate under institution gani? Kwa mfano kampuni ya ujenzi inavyo operate under CRB.
 
OK IPILIMO. Kwa sasa nimeshaanza mchakato wa BRELA.. Nikimalizana na Brela naweza kukutafuta kujua way forward na niweze kusajiri kwenye institution nyingine kama TRA na halmashauri. Ntashukuru kama utanisaidia kujua Kampuni ya usafi ina operate under institution gani? Kwa mfano kampuni ya ujenzi inavyo operate under CRB.

Hongera, keep going, sisi tutakushauri mara utakapo ona yafaa hivyo, si kusajiri tu, ila najua kampuni inahitaji planning nzuri mfano Strategic plan, business plan (yenye marketing research justifications nk). Karibu.
 
Hongera, keep going, sisi tutakushauri mara utakapo ona yafaa hivyo, si kusajiri tu, ila najua kampuni inahitaji planning nzuri mfano Strategic plan, business plan (yenye marketing research justifications nk). Karibu.

Ila hujamjibu swali lake mkuu au nayo inabid alipie?. Jamaa ameuliza kampuni ya usafi inaoperate under institution gan?
 
Kwa kuwa ushaanza brela basi sasa anza kuandaa ofisi na kisha shughulikia documents zinazoonesha kwamba unamiliki hilo eneo kama ni lako au uwe na mkataba kama umepanga. Ukipata vyeti vya usajili brela nenda TRA iliyopo wilaya iliyopo ofisi yako ukiwa na copy za mkataba au hati ya umiliki wa eneo, cheti cha usajili kutoka brela, kitambulisho choka, barua ya serikali za mitaa n.k. Utapewa TIN na TRA, ukimalizana nao sasa ndo u naenda manispaa kupata leseni ya biashara yako. Kama kuna mengine basi mwingine atusaidie, ila maelezo haya yamecover kiasi kikubwa. KILA LA KHERI!!!
 
Kwa kuwa ushaanza brela basi sasa anza kuandaa ofisi na kisha shughulikia documents zinazoonesha kwamba unamiliki hilo eneo kama ni lako au uwe na mkataba kama umepanga. Ukipata vyeti vya usajili brela nenda TRA iliyopo wilaya iliyopo ofisi yako ukiwa na copy za mkataba au hati ya umiliki wa eneo, cheti cha usajili kutoka brela, kitambulisho choka, barua ya serikali za mitaa n.k. Utapewa TIN na TRA, ukimalizana nao sasa ndo u naenda manispaa kupata leseni ya biashara yako. Kama kuna mengine basi mwingine atusaidie, ila maelezo haya yamecover kiasi kikubwa. KILA LA KHERI!!!

Thanks much mkuu.... Ubarikiwe sana.. Maelezo yako yamekuwa valuable asset kwangu... Umenipa maelezo mazuri sana.
 
kwa kuwa ushaanza brela basi sasa anza kuandaa ofisi na kisha shughulikia documents zinazoonesha kwamba unamiliki hilo eneo kama ni lako au uwe na mkataba kama umepanga. Ukipata vyeti vya usajili brela nenda tra iliyopo wilaya iliyopo ofisi yako ukiwa na copy za mkataba au hati ya umiliki wa eneo, cheti cha usajili kutoka brela, kitambulisho choka, barua ya serikali za mitaa n.k. Utapewa tin na tra, ukimalizana nao sasa ndo u naenda manispaa kupata leseni ya biashara yako. Kama kuna mengine basi mwingine atusaidie, ila maelezo haya yamecover kiasi kikubwa. Kila la kheri!!!
ELAFU mkuu naitaji msaada wa no yako nataka unielekeze
 
Last edited by a moderator:
Ukishamalizana na mambo ya usajili nione nikutengenezee vitabu vya receipt, forms za usafi, vipeperushi, business card, na uniforms karibu kwa huduma hizi mkuu
[font=&amp]habari wakuu

nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri kampuni na hatimaye kufungua kampuni ya usafi anisaidie.

Najua hatua ya kwanza natakiwa niende brela, lakini baada kumalizana na brela sijui zinafuata hatua zipi ili kampuni iweze kufanya kazi kihalali hapa inchini.

Thanks.[/font]
 
Mimi nimesajili kampuni brela sasa nahitaji kujua kama imeshakuwa tayari kupitia mtandao je inawezekana
 
Back
Top Bottom