Jamani wakati wa kufanya maamuzi ni sasa ivi ni kiasi gani tumeumizwa na serekali iliyopo madarakani, maisha yamekuwa magumu garama za kila kitu cha muhimu kuanzia matibabu, elimu, vyakula, mafuta, umeme zinapanda kila kukicha, wanyama wetu wanauliwa kila saa, rasilimali za nchi kama madini,gesi...