bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 453
- Thread starter
- #61
Naona hata ukihamishwa kwenda bukoba bado utaendelea kutoka na mke wa mtu ambaye alikuwa mchumba wako hapo awali.
yaani ilikuwa imeshafikia hatua ya kumchukua na kwenda kumficha asee ila MUNGU NI MWEMA kanifumbua ubongo