Recent content by onyamnyothoche

  1. onyamnyothoche

    Kwanini wanaume wanasumbuka sana ili mwanamke afike?

    Nimekuelewa mkuu. Unakuta mtu kaonga ela bado anakomaa kumridhisha mwanamke, mi kama kuku tu
  2. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Ebana hata mi nimefurahia mno stori ya jamaa. Humu utajifunza, utaburudika, utafarijika na kuongeza matumaini nimeona
  3. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Kuna host mmoja alikuja dar kutoka Arusha akiwa na wazungu wawili, jamaa alizubaa kidogo tu mitaa ya Jmo wageni wake waliibiwa pesa zote, aliwaacha wageni kubadilishana pesa na wenyeji bundle kubwa la pesa nyekundu kumbe ndani makaratasi. Ilikuwa kilio
  4. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Mkuu hapa naamini sitokosa. Ngoja nijaribu alafu nitaleta feedback
  5. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Kwa mipango uliyonayo kwakweli Mungu akuongeze muda wa kuishi, gharama za wema huu pia utalipwa na Mungu mwenyewe. Naamini hawa watu wanaotegemea kuvutwa kwa hii kamba unaoturushia ni wengi na hii kazi unayoifanya imewashinda ndugu zetu wengi wa damu wenye uwezo mkubwa. Hata nisipofanikiwa mimi...
  6. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Mkuu izzo usiniache nje 0625777496. Babangu alikuwa anakuja nyumbani na wageni kutoka Canada lakini kipindi hicho nilikuwa mdogo sikujua chochote leo hii nimekua na sinae tena.
  7. onyamnyothoche

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Ndo napanga niingie mwezi wa nne nimeshakamilisha mipango yote #lusungo
  8. onyamnyothoche

    Mkurugenzi wa FBI apinga madai ya Trump kuhusu Obama

    Bana kabisa huyo Obama mpaka arudi kulima kisumu
Back
Top Bottom