Polisi wetu kwa ccm ni ma kamasi tu waoga kishenzi.polisi anaweza kuamrishwa na katibu wa tawi ccm kuwa huyu mumweke ndani na wakafanya hivyo,,,,,,,Kama ilifikia hatua wanazuia eti Alphonce Mawazo asiagwe na wananchi kisa tu ni mtu wa upinzani unaona sawa,walijaza bunduki mji wa mwanza mzima...