Tengua teua ya Rais Magufuli ina faida?

Mwifwa

JF-Expert Member
Apr 3, 2017
46,921
122,189
Habari zenu wana jamvi.

Napenda tujadili jambo moja tu kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Katika awamu hii 5 ya serikali ya JMT suala la kutumbua kwa viongozi mbalimbali na kuteua wale ambao wako kwenye nafasi fulani ya uongozi kuhamishiwa nafasi nyingine limekuwa ni jambo la kawaida sana.

Mimi binafsi nimekaa na kutafakari matunda yake tangu hili zoezi Mh Rais alivalie njuga na kulitekeleza kila mara, lakini nimeshindwa kupata majibu ya kuniridhisha kwenye athari chanya kwenye maendeleo yetu kupitia hii serikali.

Naomba tujadiliane hili jambo kwa kugusia faida zake na athari zake ili sisi kama wananchi tuweze kuwapa ushirikiano vizuri viongozi wetu hawa pindi wanapopewa madaraka ya kutuongoza.

Nawasilisha!
 
Asiyetafakari muda wote hupenda kuosha sahani akidhani anatenda jema. Mkumbushe dereva wa lori kuwa sahani zingine hazioshwi, ni za "take away". Ukiosha zinanyumbulika. La sivyo, ale ugali wake kwenye sufuria kama vile afanyavyo lori linapokufa gearbox njiani na hoteli hazipo.
 
Habari zenu wana jamvi.

Napenda tujadili jambo moja tu kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Katika awamu hii 5 ya serikali ya JMT suala la kutumbua kwa viongozi mbalimbali na kuteua wale ambao wako kwenye nafasi fulani ya uongozi kuhamishiwa nafasi nyingine limekuwa ni jambo la kawaida sana.

Mimi binafsi nimekaa na kutafakari matunda yake tangu hili zoezi Mh Rais alivalie njuga na kulitekeleza kila mara, lakini nimeshindwa kupata majibu ya kuniridhisha kwenye athari chanya kwenye maendeleo yetu kupitia hii serikali.

Naomba tujadiliane hili jambo kwa kugusia faida zake na athari zake ili sisi kama wananchi tuweze kuwapa ushirikiano vizuri viongozi wetu hawa pindi wanapopewa madaraka ya kutuongoza.

Nawasilisha!


Ndiyo, Fisadi Lowasa na Tundu Lisu hawawezi kuiba tena kama zamani!
 
Mkuu unamaanisha kwa IGP SIRRO nini ? hapo kwa sirro ukurutu umepata mkunaji.
 
Habari zenu wana jamvi.

Napenda tujadili jambo moja tu kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Katika awamu hii 5 ya serikali ya JMT suala la kutumbua kwa viongozi mbalimbali na kuteua wale ambao wako kwenye nafasi fulani ya uongozi kuhamishiwa nafasi nyingine limekuwa ni jambo la kawaida sana.

Mimi binafsi nimekaa na kutafakari matunda yake tangu hili zoezi Mh Rais alivalie njuga na kulitekeleza kila mara, lakini nimeshindwa kupata majibu ya kuniridhisha kwenye athari chanya kwenye maendeleo yetu kupitia hii serikali.

Naomba tujadiliane hili jambo kwa kugusia faida zake na athari zake ili sisi kama wananchi tuweze kuwapa ushirikiano vizuri viongozi wetu hawa pindi wanapopewa madaraka ya kutuongoza.

Nawasilisha!

Kwa IGP Sirro ina faida kubwa sana na ni kama vile kumpumzisha Lionel Messi na kumuingiza Christiano Ronaldo.
 
Tatizo masnitch wengi ndio naama anawapiga chini.Vibaraka vya jamaa Fulani aliyetoka madarakani vinamsumbua sana jpm haviendani Na sera zake vinataka kuishi Kama Enzi zile za jamaa yao hawataki kucopy Na kauli mbiu ya jpm.SO APIGA CHINI SNITCH ANAPANDISHA AMBAE ANAIMANI NAE SO MI NAONAGA POA TU
 
kazi ya kuongoza watu ngumu sana. inahitaji hekima na utulivu mno kuishi nao maana kwa nyakati tofauti tofauti lazima watakuudhi tu. hiyo ni hulka ya mwanadamu - kukosea. sasa kama kiongozi lazima uwe na uwezo wa kudhibiti hasira pale unaowaongoza wanapokuudhi. bila hivyo utafukuza au utafukuzisha kazi kila anayekuudhi.

mimi ni kiongozi wa timu ya watu 14 mziki wake naujua
 
Back
Top Bottom