Bunge lipi linaweza kuamua juu ya tuhuma zinazomkabili DAB ? Hiyo sahau, kwa hili na mambo mengine yote ambayo watanzania kote nchini wanayalalamikia ni wajibu wa watanzania wote wenye mapenz mema kwa taifa hili kuamka na kupinga hadharani yale yote ambayo serikali ama viongoz wake kuyatenda nje...
Halafu tunasema tunakuza uchumi !! Uchumi gani utakuwa wakati tunawatia umaskini wananchi, yaan unamrudisha mtu nyuma miaka 30, afu unamtangazia uchumi wa nchi yako unakuwa, binadam tumepoteza utashi na kubakiza akili ambazo hata kuku anazo, afu unategemea mtu aipende serikali kwa namna hii...
Si kila unachokisoma unatakiwa kukitafsiri kama unavokisoma, ndo maana hata madarasani wanafundisha aina na dhana za aina kadhaa za ufahamu.
Wewe umekurupuka, hicho ulichokisoma kina dhana ya lugha ya picha ambayo kwa tukio husika ni lugha ya kisheria zaidi.
Si kila penye pazia ni mgahawa...
Unajua cku hz hata sadaka hawapati, so njaa imewashika pabaya, sasa wanatafuta bahasha za mtukufu, afu HV hayo matamko huwa yanawashirikisha waumini wao ? Maana waumini wao ndo wanaoisoma namba na sidhani kama waumini wanaojitambua wanaweza kukubaliana na huu upuuz
Ubwege wangu muulize mama ako, anaijua shughuli yangu,
VP akina chenge, kagoda, lugumi, rada za barabarani, tibaijuka, nyumba za serikali n.k VIP watakuja lini chadema ? Waambie waje wasione haya, mlawakumbatia kisa wamewaoa nyie makahaba wapiga deki hamna ujanja wa kuwasema, *** u bustered
Una ruhusiwa kisheria kwenda mahakaman kumfungulia mashtaka ya ufisadi huyo Lowasa, sio unatuharishia tu hapa, Mbona hata mabwana zako wanashindwa kumpeleka mahakaman wanaogopa nn ? Afu we kajamba nani unajitia kidomo kama mke wa baloz we ndo unajua sana au ?
Umesahau kuwa timu ya mafisadi wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.