Sii arudi kukampeni huku akitangaza kura zake apewe wa chadema au nalo kosa watamkamata tena ??? Ccm bila msaada wa polisi ni hamna kitu duuuhhhAibu kubwa na ukiukwaji wa haki. Mgombea wa NRA kata ya Murieti ameshikiliwa kwa nguvu ktk Halmashauri ya Jiji Arusha, kwa sababu ya kujitoa na kumuunga mkono Diwani wa Chadema , msimamizi wa uchaguzi amekataa kupokea barua yake na kumweka chini ya ulinzi. Time will tell