mtoa mada ameongea general sana kwamba history ni vitu vya kubuni,,,
baadh ya wadau wameingia kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika,,but history tunaanzia kwenye history yaulimwengu umeanza vp,,tuje kwenye dunia imeanza vp,,tuje kwenye formation of continents,,tuje kwenye early life,,tuje...