Recent content by One two

  1. O

    Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

    unajua hoja za kukurupuka huwa hazina muda kwa mtoa hoja kuaibika fuatilia histolia ya tanganyika ndo utajua jina mbowe limeanza ujasiliamali lini bt kuwa makini sana na siasa unazo zifanya hasa za kukulupuka itakusaidia
  2. O

    Ya Kandoro inatisha... Ajiuzia gari la TZS milioni 300 kwa milioni 2 tu!

    Sijakuelewa moja kandoro ni mkuu wa mikoa miwili, mbili unazuzia mambo ya alipo kuwa mwanza au ni mambo ya sasa hivi, tatu ladba unamzungumzia kandoro yupi Napenda kujua haya kabla sija changia kwenye mada huska
  3. O

    TUGHE: Zitto Kabwe ashtakiwe

    Wanajipendekeza tu kwani kujua mishahara ya hao watu kuna tatizo gani zaidi ya kuwajuza kiasi ambacho wanachi wananyonywa kodi zao
  4. O

    Maadui wakubwa wa watanzania na tanzania wanayoitaka hawa hapa

    Chama cha mapinduzi (ccm)
  5. O

    Ujumbe kwa Mbunge wa Songea Mjini mheshimiwa Emanuel Nchimbi

    Acha kuwafundisha watu kazi ambayo wanajua kuwa wanaifanya kwa umakini mkubwa na kwa elimu zao kubwa za u dr, nasma hayo maana nina amini kuwa mbunge anayajua fika hayo matatizo na hapo ndio uwezo wake ulipo fikia ko ujinga, kujipendekeza kwa watu kama nyie hakuwezi kutatua kero za watu wa...
  6. O

    Nape 'eti' amshtukia Zitto kuhusu ukaguzi wa vyama

    Hivi unapo sema vyama vya siasa unamaanisha ccm na chadema na kinacho mfanya nape ajitokeze tena kwa kuonyesha udhauifu mkubwa anajihami na historia ya ukaguzi ndani ya chama chake hivi nani anauhakika kuwa ccm imekaguliwa, mbona anakimbia mpaka anapitiliza kwao asubili ukaguzi na asitupe mambo...
  7. O

    Msekwa anaendeleza propaganda za kitoto za Dr Slaa na Ukatoliki!

    Mtu anapo zeeka anakuwa na akili za kitoto na mzee anadhani bado tuna fanya siasa za zamani za kuto kuwa na data shame on them
  8. O

    Mikutano ya CHADEMA yadoda Iramba

    habari za majungu haziwezi kukutoa kisiasa njaa tupu, weka ushahidi wa picha tujionee au ndo unaona aibu
  9. O

    January Makamba azidi kuipa presha CHADEMA

    Makamba ni mwanasias kijana na anajitahidi katika tasinia ya siasa ndani ya Tanzania lakini inatakiwa tusiwe washobokaji kijana huyu bado haja fikia hadhi ya kuanza kupewa nafasi ya kuwa mgombea urasi mwaka 2015 mana kuna watu ambao wamemzidi sifa nyingi sana hata ndani ya ccm, tatizo la wana...
  10. O

    Matunda ya kampeni ya kijiji kwa kijiji Mbeya vijijini yazaa matunda

    ndo mshauli sasa atimize ahadi zake hivyo vituo viko wapi mana nimepita vijijini sijaona au unafanya siasa za kwenye mtandao tu ila hufiki maeneo ya matukio, Mwambie Mbungewenu mzembe huyo Mwanjale Kuwa tumeanza kula mtaji wake ko kufikia 2014 atajua tulikuwa tunafanya nini
  11. O

    Matunda ya kampeni ya kijiji kwa kijiji Mbeya vijijini yazaa matunda

    utabaki na hoja zako hizo za kitoto wakati watu tunapiga kazi, mkumbushe mbunge wako MWANJALE akafanye wanachi alicho wa ahidi la sivyo tutazidi kuvuna wanachama
  12. O

    Matunda ya kampeni ya kijiji kwa kijiji Mbeya vijijini yazaa matunda

    Mote humo tutapita hakuna kiji kitakacho achwa, mana hatutaki jiwe lisimane juu ya jiwe kufikia 2014-2015
Back
Top Bottom