Baada ya huyu daktari leo kuusema huu ukweli, nikiwa kama GENTAMYCINE ambaye huwa napenda kuwajibika (kubaioloji) usiku tu huku taa ikiwa imezimwa nahisi wapenzi wangu huwa hawaishii tu kunifumbia macho bali huenda hata huwa wananizomea na kuning'ong'a vile vile kwakuwa huwa hatuonani minyago...
Changamoto kubwa ninayoiona Tanzania ni kwa wale wenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii kupewa nafasi kumbwa pasipo kutizama utimamu wa afya ya akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.