Nasikia pia Brazil kuna magenge mengi ya uhalifu na dawa za kulevya.In miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa vitendo Vinci vya uhalifu.vipi unaliongeleaje hili?
Hivi corona ikiisha mleta uzi utaandika nini?Almost daily ni bandika bandua nyuzi za corona tu ukijificha kwenye kichaka cha uzalendo.Unalipwa kiasi gani kwa kila uzi ?
Wako wapi
1.Kilonzo Mpologomi.naibu waziri wa fedha wa zamani
2.Semindu Pawa.Former Singida Mp
3.William Shelukindo .Former Bumbuli mp
4. Albert Mnali.former Bukoba rural DC
5.Muhidini Ndolanga..former FAT president
6.Jimy kabwe
7.Fenela Mkangala
8.Makwaiya wa Kuhenga
Hvyo vyote ulivyotaja ni hazina ya Kagera,umenikumbusha mbali sana mkuu,cha kusikitisha zaidi vitu hvyo vingi vimetoweka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa/tabia nchi.Wakola muno kyoma
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.