Bodi ya wataalamu wa ununuzi na ugavi haijatoa matokea ya watainiwa waliofanya mitihani mwezi Agosti na pia Novemba 2020 kwa sababu haina bodi ya wakurungenzi.
Suala la taasisi hii kukosa bodi ya wakurugenzi lilitolewa mbele ya waziri mkuu na waziri husika kwenye kongamano la wataalamu wa...
Kwa mwezi mmoja sasa nchi iko kwenye mgawo ambao chanzo chake hakijulikani kwa wananchi. Maeneo ya Nyanda za juu kusini hali ni mbaya Sana.
Tunahitaji sana Umeme kwa ajili ya shughuli za kiuchumi.
Binafsi sijaona juhudi zako katika kuhakikisha suala kukatika umeme linakuwa historia.
Habari wadau.
Kumezuka matangazo yasiokoma kwenye vituo karibia vyote vya redio kuhamisisha masuala ya kucheza kamali. Bila kuathiri dhima ya kujiendesha kibiashara lkn tabia redio kutumia nusu ya airtime kunadi kamali sio nzuri kwa mstakabali wa ustawi wa taifa.
Hatuwezi kujenga taifa là...
Katika hali isiokuwa ya kawaida baadhi ya wananchi wenye mahitaji ya leseni za udereva ,wamekumbwa na mshangao hapa jijini Mbeya baada ya kuambiwa kuwa hawataweza kupata kadi mpk baada ya mwezi mmoja.
Hii ni kwa sababu kadi za kuchapishia leseni zimeisha na zitapatikana bàada ya mwezi mmoja...
Katika hali isiokuwa ya kawaida maeneo mengi ya Jiji la Mbeya yakumbwa na uhaba Mkubwa Wa tangu mwishoni mwa mwezi. Maeneo yaliyoathirika zaidi ni Forest, Mwanjelwa, Kabwe stand, Soweto, Mama John , Iromba, chuo kikuu Teku, na Mwambene.
Mamlaka zinazohusika zifanye jitihada kurejesha Huduma hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.