Recent content by omusimba

  1. O

    JamiiForums Tanzania Kipi kinachelewesha uteuzi wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi PSPTB?

    Bodi ya wataalamu wa ununuzi na ugavi haijatoa matokea ya watainiwa waliofanya mitihani mwezi Agosti na pia Novemba 2020 kwa sababu haina bodi ya wakurungenzi. Suala la taasisi hii kukosa bodi ya wakurugenzi lilitolewa mbele ya waziri mkuu na waziri husika kwenye kongamano la wataalamu wa...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Rais Ramaphosa kuitisha mkutano wa marais wa SADC wakati akijua Tanzania ndio Mwenyekiti, kitendo hiki hakifanani na mapinduzi ya kuondoa kiongozi?

    Sasa kama Meko mwenyewe ni kama hazimtoshi unadhani wangefanyaje
  3. O

    JamiiForums Tanzania Inasemekana wanaume ndio tunaongoza kwa fitina hapa duniani

    Waha wa Kigoma
  4. O

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sisi tunataka umeme lkn wao kila siku wanapishana kwenda bandarini.
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kibiti: IGP Sirro aagiza msako wa watoto watoro 1,300. Hawajulikani walipo

    Siwaamini kabisa watu waliokimbia upadri kama Slaa na Sirro
  6. O

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais, tunataka umeme!

    Kwa mwezi mmoja sasa nchi iko kwenye mgawo ambao chanzo chake hakijulikani kwa wananchi. Maeneo ya Nyanda za juu kusini hali ni mbaya Sana. Tunahitaji sana Umeme kwa ajili ya shughuli za kiuchumi. Binafsi sijaona juhudi zako katika kuhakikisha suala kukatika umeme linakuwa historia.
  7. O

    JamiiForums Tanzania Makonda: Fedha zote za matibabu ya bure kwenye meli katoa Rais Magufuli

    Bashite ubongo pilitoni
  8. O

    JamiiForums Tanzania Kitengo cha maudhui TCRA : Huu mtindo wa kugeuza redio kama vituo vya kamali hauvumiliki.

    Mpk vipindi vya watoto utasikia issues za tatu mzuka
  9. O

    JamiiForums Tanzania Kitengo cha maudhui TCRA : Huu mtindo wa kugeuza redio kama vituo vya kamali hauvumiliki.

    Habari wadau. Kumezuka matangazo yasiokoma kwenye vituo karibia vyote vya redio kuhamisisha masuala ya kucheza kamali. Bila kuathiri dhima ya kujiendesha kibiashara lkn tabia redio kutumia nusu ya airtime kunadi kamali sio nzuri kwa mstakabali wa ustawi wa taifa. Hatuwezi kujenga taifa là...
  10. O

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Siri yafichuka CCM juu ya ukatibu mkuu. Abdallah Bulembo aandaliwa kuchukua nafasi hiyo kiurafiki na uswahiba

    Bulembo darasa la saba jamani Naomba katibu wa itikadi na uenezi awe Joseph Msukuma.
  11. O

    JamiiForums Tanzania TRA Mbeya wakumbwa na Uhaba wa kadi ya kuchapishia leseni za udereva.

    Katika hali isiokuwa ya kawaida baadhi ya wananchi wenye mahitaji ya leseni za udereva ,wamekumbwa na mshangao hapa jijini Mbeya baada ya kuambiwa kuwa hawataweza kupata kadi mpk baada ya mwezi mmoja. Hii ni kwa sababu kadi za kuchapishia leseni zimeisha na zitapatikana bàada ya mwezi mmoja...
  12. O

    JamiiForums Tanzania Jiji la Mbeya lakumbwa na uhaba Wa maji kwa wiki mbili sasa

    Katika hali isiokuwa ya kawaida maeneo mengi ya Jiji la Mbeya yakumbwa na uhaba Mkubwa Wa tangu mwishoni mwa mwezi. Maeneo yaliyoathirika zaidi ni Forest, Mwanjelwa, Kabwe stand, Soweto, Mama John , Iromba, chuo kikuu Teku, na Mwambene. Mamlaka zinazohusika zifanye jitihada kurejesha Huduma hii...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Wazalishaji na wauzaji wakubwa wa mchele(Long grain white rice)

    Mbeya Nina tani 5
  14. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimebambikiwa deni na bodi ya mikopo ya elimu ya juu

    msamehe bure mkuu, huwezi jua kaamkaje leo
  15. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimebambikiwa deni na bodi ya mikopo ya elimu ya juu

    leta mchango wa hoja za kisheria tu itafaa, siwezi kuomba pesa jamii forum
Back
Top Bottom