Katika hali isiokuwa ya kawaida maeneo mengi ya Jiji la Mbeya yakumbwa na uhaba Mkubwa Wa tangu mwishoni mwa mwezi. Maeneo yaliyoathirika zaidi ni Forest, Mwanjelwa, Kabwe stand, Soweto, Mama John , Iromba, chuo kikuu Teku, na Mwambene.
Mamlaka zinazohusika zifanye jitihada kurejesha Huduma hii...