Tetesi: Siri yafichuka CCM juu ya ukatibu mkuu. Abdallah Bulembo aandaliwa kuchukua nafasi hiyo kiurafiki na uswahiba

Hizo ni tetesi zenye chembe chembe za ukweli kwa zaidi ya 99%.
Watu wengi walio karibu na Abdallah Bulembo wanakiri kuwa, jamaa ndio katibu mkuu mpya wa CCM.

Ni suala la muda tu, kila kitu kiko wazi sana.
 
Hivi nimesikia Mangula ameanza kuaga , yeye ameamua kutoka?? Naomba anaejua asaidie.....akitoka Mangula itakuwa shida endapo atawekwa Bulembo....maana hawataendana na Naibu wake!!! Labda Mangula awepo
 
Back
Top Bottom