Huyu aliyeandika uzi fala kweli yaani dolari 3500 unaunguza akaunti? Tatizo ni tamaa na hofu, mtu anachukua $1000(2.3M) ananunua pikipiki Boxer anampa dereva amletee sh 7000 kwa siku (3$) yaan kwa wiki 50k(23$) na hapo oil anamwaga mwenyewe yaan ukinunua pkpk kwa $1000 kwa wiki unapata 42k...
Ayatolah Komnei huko mahututi huko kalishwa polonium! Wanalipiza kisayansi so kukurupuka kama hamza! Mindevu ikiwa mingi akili inakimbilia kwenye visigno[emoji23][emoji23]
Kilichoharibu kabisa genetic codes za wagiriki na waitaliano kutoka kuwa magenius mpaka kuwa mazwazwa kama sasa hivi ni kutumia vifaa vilivyotengenezwa kwa Lead(Pb) katika matumizi yao ya winery, wametumia vifaa hivyo kuivisha vinyo mpaka kwenye vifaa vya kunywea, walkuwa wakiweka vinyo kwenye...
[emoji23][emoji23] halafu watu wenye fikra km zako ni hovyo kabisa! Unadhani mmarekani anatoka virginia california huko aje kandahar kupgana vita badala ya kula bata kwenye fukwe za miami! Hawa jamaa wao walifocus huko wakilenga mafuta na madawa ya kulevya, kuna ushahidi mpk wa video CIA...
Biashara kubwa ya Taliban ni opium na cocaine! USA wamesema wanaelekeza nguvu DRC[emoji23][emoji23]!
Kama nilivyowahi kusema hawa mabeberu wao wanaangalia maslahi ya taifa lao tu! Wanafanya long term plan na ukiangalia miaka kama 30 mbele hivi mafuta(oil) so dili tena, wanakuja congo kutafuta...
Nyie ambao hata kusoma hamtaki mnatka tu kuweka hela na kuona blue hamna! Financial markets n kati ya kazi ngumu sana! Inahitaji kudevote muda kujifunza na kufanya analysis kila siku hata kama hutrade siku hiyo ili akili ikae sharp! Kwa mara nyingi watu ambao hata shuleni walkuwa vichwa maji...
Nyambizi(subamarine) ya JWTZ ilikuwa imeenda kupeleleza hao wanamgambo tank la mafuta likapasuka! Ilibidi tugeuze chap chap mpka hapo kigamboni ndo tukalipaki! Nadhani ndo hayo mafuta hata sisi tulikuwa tumeyanyonya hapo Total kariakoo
Kigezo cha kupeleka makao makuu dar kilikuwa na sababu za kishamba na kizamani( eti iko katikakati) wakati Washington DC ( makao makuu ya Usa) iko umbali wa zaidi ya km 4500 kutoka baadhi ya miji ya pembenzoni lkn bado n makao makuu
Hii ina ukweli 90% haiwezekani itokee revolution ya miaka 5 tu game ichange hivi!
Swali: serikali imefanya nn cha ziada kuongeza ufaulu kwa shule za serikali kuliko ilivyokuwa awali?
Kule hamna kitu haswa sema uchina inatishia usalama wetu mabepari, tunaenda pale kumwongezea nguvu SK na Japan pia kuipa mamlaka kamili Taiwan na Hongkong!
China baadae atakuwa soko zuri na source of cheap labour! Ngoja kwanza tumalize kuiset dunia kupitia One World Order
Wazungu hawana habari tena na hao waarabu na wapersia, mafuta so dili tena, Marekani na washirika wake wanahamia pacific ambako china ina udhibiti mkubwa, Miaka 30 kutoka sasa jiandae kuwaona wahamiaji haramu wa ki-Iran wakiwa kwenye malori wakielekea south! We switching to solar and...
Iko nyuma kulinganisha na wapi? Hapa Tanzania hamna sehemu ambapo kuna vijiji vyenye unafuu wa maisha na pazuri kama Kilimanjaro, kagera na mbeya!
Nimefanya biashara ya mazao nimeenda karibia mikoa yote huko ndani ndani uhayani wanajitahidi, vile vitoto unakuta matumbo yako nje asbh asbh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.