Meli ya Israel ya mafuta yapigwa kombora pwani ya Oman ikitokea Saudi, mabaharia wawili wauawa

Also and most importantly, #Iran is not bothered to claim or deny its responsibility which means it is ready to take the challenge. That is a strategic decision.
Wazungu hawana habari tena na hao waarabu na wapersia, mafuta so dili tena, Marekani na washirika wake wanahamia pacific ambako china ina udhibiti mkubwa, Miaka 30 kutoka sasa jiandae kuwaona wahamiaji haramu wa ki-Iran wakiwa kwenye malori wakielekea south! We switching to solar and electricity!
Mtahaha sana na makobanzi yenu
 
Wazungu hawana habari tena na hao waarabu na wapersia, mafuta so dili tena, Marekani na washirika wake wanahamia pacific ambako china ina udhibiti mkubwa, Miaka 30 kutoka sasa jiandae kuwaona wahamiaji haramu wa ki-Iran wakiwa kwenye malori wakielekea south! We switching to solar and electricity!
Mtahaha sana na makobanzi yenu
Kumbe ?
 
Back
Top Bottom