Forex haiwezi kukutoa kimaisha, ni bora ubeti au ukalime

Yaani ujinga wako unamuangushia jumba bovu demu wako, no wonder kakupiga chini kaona huna akili!
Mkuu nashukuru
Forex inamengi ndani yake usiwalaumu wanaouza signals.. binafsi Kuna mtu aliniunga kwenye group na alikuwa anauza signals but alianza kwa kutafuta wateja so akafanya free kwanza.. sikuwa nafuata signals zake maana hata kwenye group niliwekwa tu! Na sikupenda kufuata data za mtu mwengine! Lakini nilifatilia jamaa alikuwa real na members kwenye lile group walimake profits za kutosha tu! Nilimfatilia kila siku ila sikuwahi kufuata anavyotrade but profit zilikuwa zinaonekana kabisa.

Siku aliyokosea ni moja tu ambapo hata mimi nakumbuka niliweka hivyohivyo kwenye pea ya USDJPY ilikuwa ni ijumaa ya Kama wiki mbili zilizoisha hivi soko likaenda mlama watu tulitegemea ngoma itashuka but a fucking shit happened..😂
Jamaa aliomba msamaha akaahidi kuwa wiki inayokuja atamake sure watu wanarudisha profit zao.. na bei zake hazikuwa za juu kihivyo Sasa mtu anakutoza dollar 30 then unaweza kumake profit hata dollar 500 kwa wiki Kama upo serious! Nilijitoa kwenye lile group lakini siwezi msema jamaa vibaya sikuwahi fuata signals zake hata kidogo ila nilifatilia zilikuwa zinaingiza faida!!.

Mkuu mi sio mtaalum wa forex bado mchanga mno ila kwa nilichoona forex inahitaji

Uvumilivu

Mtaji wa kutosha (hapa kuna mawili usipokuwa makini ukajipa kiburi cha kuwa unamtaji mkubwa ukatrade hovyo jua kwisha habari!!,pia ukajiona unamtaji mkubwa ukatrade order nyingiii bila kujua risk napo pia wafwaa!)

Jua soko la fedha kiujumla namaanisha taarifa zote..

Chagua pea za kufa nazo utakazozijua Kama mkeo..😅
I mean hata kama ikienda against nawewe unaweza kutabiri itakuwa na kiburi hicho mpk wapi..? Je,pea husika hufanyiwa manipulation..? Maana nilichogundua sometimes huwa Kama Kuna fake movements!! Get to know that!.

Jijue nawewe ni mtu wa aina gani na u trade vipi usifate tu wanavyosema kina fulani!.. aisee toka nimeijua forex nishaona forums nyingi tu ila chaajabu huwa sifuati wanavyosema wale members! Mimi ni kila mtu anakufa na tai yake shingoni..🤣

Elimu Kama elimu ya forex ni muhimu pia!

Control your fucking psychology!! Narudia tena control your fucking psychology!!.
Hapa yupo uvumilivu!
Hapa yupo muamuzi!
Hapa yupo pressure!
Hapa yupo tamaa!
Hapa yupo yule anaekuambia "Kuna traders huko wanaingiza faida kubwa wewe unakwama wapi"😀
Yupo na yule anaekuambia ndani yako "ushakuwa trader mkubwa huwezi kukosea"😂


Hii biashara inamengi sana ndani yake ila nahisi ukiweza kuwa trader wa aina fulani hivi unaweza kuwa good trader tu but huchukua fucking time!. Sijisifu na Wala siiti mtu aje huku just kuja kwa miguu yako ili uondoke kwa miguu yako..😂

Hata kilimo kinawapoteza watu vizuri tu kikubwa nishajua hakuna pesa rahisi labda ujitahidi usome system za hela halafu we pindisha zianze kuangukia kwako!. Akili yangu sahivi imekaa kimagendo magendo tu..🤣
Mkuu sina matumaini tena na hii biashara, nimeamua ni focus kwenye kazi yangu, by the way nashukuru sana kwa ushauri wako, hapa Tanzania kuna watu wanafanya forex kama full time job na wamefanikiwa?
 
Noma sana braza watabe tunaelewa hizo situation. Kuchoma akaunti ni jambo la kawaida ..ila Mimi ningekuwa na hiyo usd 3000 aise ningefika mbali sana. Komaa mwamba life ni zaid ya fx..

By the way niunganishe na ex wako nina maongezi naye kimtindo.
 
Mkuu nashukuru

Mkuu sina matumaini tena na hii biashara, nimeamua ni focus kwenye kazi yangu, by the way nashukuru sana kwa ushauri wako, hapa Tanzania kuna watu wanafanya forex kama full time job na wamefanikiwa?
Nadhan nao wangekuwa mabilionea kama mo
 
Mkuu nashukuru

Mkuu sina matumaini tena na hii biashara, nimeamua ni focus kwenye kazi yangu, by the way nashukuru sana kwa ushauri wako, hapa Tanzania kuna watu wanafanya forex kama full time job na wamefanikiwa?
Kwa tz sijui maana hata hivyo biashara yenyewe hii ndo inaingia wengi hawaielewi sijafatilia mi bado najifunza tu sitaki kujua ya fulani..😅
 
Nilichojifunza kwenye forex,

Kwanza elimu, kisha mtaji wa uhakika!

Watz wengi sana wanaojihusisha ma forex wanaijua ila wanakwamishwa na mitaji midogo.
Wengi wa watz mitaji yao ni dola 100 ikizidi sana 300.

Huu ni mataji ndio ila unaweza usidumu kwenye soko mpaka kwanza uumie karibu kwa miaka 2 au zaidi kwa displine ya hali ya juu sana.

Mtu mwenye mtaji wa dola elfu 10 kwa mfano akifuata money management anaweza kuishi maisha mazuri sana bila kutegemea kazi nyingine yeyote
 
Anaeuza Signal kwa nini asizitumie mwenyewe apige hela zaidi? Hili swali wengi huwa hawapendi kujiuliza.
Trading kama trading inatakiwa ujifunze kwanza kabla ya kuingia kichwa kichwa...Binafsi nafanya Crypto trading sababu ili nitrade sihitaji broker katikati yangu na soko. Nanunua coins naingia kwenye exchange natrade, PERIOD.
Bongo forex na crypto imejaa wababaishaji na matapeli wengi sanaa sababu vijana wengi wanapenda Get rich Quick Schemes
 
Huyu aliyeandika uzi fala kweli yaani dolari 3500 unaunguza akaunti? Tatizo ni tamaa na hofu, mtu anachukua $1000(2.3M) ananunua pikipiki Boxer anampa dereva amletee sh 7000 kwa siku (3$) yaan kwa wiki 50k(23$) na hapo oil anamwaga mwenyewe yaan ukinunua pkpk kwa $1000 kwa wiki unapata 42k ukimwaga oil hapo hujarekebsha sjui indicator sjui side mirror na nn!( Mtaani wanakuona umefanya bonge la investment) wkt huo pkpk inaweza kuibwa au ikapata total breakdown! Lakini cha ajabu mtu mwingine anataka adeposit $ 1000 kila siku apate $200 forex n taaluma vijana punguzeni punyeto na tamaa
 
Wakuu habari zenu,
Baada ya kupigwa pesa zangu kwenye forex nimeamua na mimi nije kushare jinsi forex ilivyopelekea mpaka nime break up na gf wangu, lakini yote maisha nimejua wanawake almost wote ni lowkey gold diggers, kwa nini nasema hivyo nimepigwa $3200, $1000 zilikuwa ni za kwangu niliunguza account, nikamkopa gf wangu $600 nikaweka nikaliwa, nikakopa kwa jamaa angu $1500 nilikuwa na kigari nikaweka ku secure bond loan, nimeliwa pesa yote $1500.

Niseme chanzo cha ku break up kilianzia kwenye migogoro ya pesa na baadaye kufuatiwa vita vikali vya maneno kwa sababu nilikua nina hasira za kuliwa pesa zangu ilibidi nizimalizie kwenye huu ugomvi kwa sababu yeye ndiye alinianza, ki ukweli no outside parties were involved (at least from my side), chanzo ni pesa.

Nikiachana na hayo nimejiuliza maswali mengi, kuhusu hawa traders wanaokuwa wamefanikiwa hivi kwa nini wanauza signal kama kweli wanaingiza pesa kupitia Forex? kwa nini wana tozesha watu pesa kuwafundisha Forex?

Kwa kweli nimeamini ule msemo kwamba 95% wanapoteza pesa kwenye Forex, 4.5% lazima itakuwa ni kampuni kubwa za ku trade ambao kwa mwezi wanapata return ya 4% hadi 5% kitu ambacho kwa sisi masikini hatuwezi, 0.5% watakuwa ndio hawa traders wa kawaida wenye big account ndio wa kuitwa professional trader ambao hawana shida ya kupost profit insta wala kuuza signal au ku charge fee kufundisha watu(kwa mawazo yangu).

Hawa mentors wa Instagram na twitter washenzi sana, wamechangia pesa zangu kuliwa kwa kufuata signal zao pia, lakini mawazo yalienda mbali sana nikawaza hivi hawa mentors wanaojitapa wanajua kuvuta profit kwenye forex kwa nini wanauza signal, kwa nini wanawatoza watu fee kuwafundisha?, wanajitapa eti wao forex ni kama sehemu ya kwenda kuchota pesa na wanapost gari nzuri ufahari mwingi.
Hivi hawa mentors wanawazidi nini wale jamaa wametengeneza MT4, waliobuni indicators kama Moving Average, Stochastic, RSI, MACD n.k almost indicators 50 na zaidi. Binafsi naamini kama kuna watu wanaielewa Forex basi ni hawa wabunifu wa hivi vitendea kazi, lakini sijawahi kuwasikia wana kelele kama hawa traders wa instagram na twitter ambao huwa wanajiona ni miungu ya Forex, kazi yao ni kutoa motivation na kupost ufahari, tapeli wakubwa, pesa zao ni za wanafunzi na kuuza signal.

Mi nasemaje Forex ni utabiri tu, hakuna anayejua market ita move wapi, ni kukisia tu, hata uwe trader wa aina gani kwenye Forex direction ya market wote tunatabiri.

Katika kitu Forex imenisaidia ni kugundua kuwa my gf ni mchawi wangu, najua she’s so successful in her career thats why ameona hata tukiachana ataendelea kula maisha, yote maisha, namuombea afukuzwe hata kazi.


Kama Mtaji Wako ni mdogo, Forex Haiwezi Kukutoa Kimaisha, ni Bora Ubeti Au Ukalime, hata ikikutoa bahati imehusika.

Thanks.


Trading Forex can be like Gambling

An Emotional roller coaster

But the best Poker players study the game all the time, look for patterns, manage risk and practice with others

It's the same with trading

Don't count on luck, use your knowledge
 
He he he $30 unapata $500 halafu unaamua tu kuacha! Ama kweli Forex is not for everyone!
Cc Dinazarde
Forex ili mvumiliane nayo lazima uwe na mpango wa mda mrefu, key Risk Management ya hali ya juu ( hapa ndio wana fail wengi ), nidhamu ya hali ya juuu sana.. wengi hupatia TA na hata SA ila kwasababu hawana uvumilivu na nidhamu broker huwakusanya kama sekiloja chambua.. wengi wana trade kuendesha maisha yao ya kila siku na ndipo wanapo kutana na mkono wa chuma 😀😀😀

Paka sasa nina trade na sio trade kila siku ni bora nikae wiki mbili au mwezi bila ku place order ila niliweka order broker ananipea
 
Huyu aliyeandika uzi fala kweli yaani dolari 3500 unaunguza akaunti? Tatizo ni tamaa na hofu, mtu anachukua $1000(2.3M) ananunua pikipiki Boxer anampa dereva amletee sh 7000 kwa siku (3$) yaan kwa wiki 50k(23$) na hapo oil anamwaga mwenyewe yaan ukinunua pkpk kwa $1000 kwa wiki unapata 42k ukimwaga oil hapo hujarekebsha sjui indicator sjui side mirror na nn!( Mtaani wanakuona umefanya bonge la investment) wkt huo pkpk inaweza kuibwa au ikapata total breakdown! Lakini cha ajabu mtu mwingine anataka adeposit $ 1000 kila siku apate $200 forex n taaluma vijana punguzeni punyeto na tamaa
$ 3500 ndogo unachoma tu kama RM yako tia maji tia maji
 
Nakukatalia, huna proper skills. Forex doesnt need you a single day, week or month to trade it successfully. Those who look it to trade with proper skills are happy, it takes you 1 to 3 years to be a good trader. Your psychology will choose wheather you are able or unable to be a big boy.
 
Wanaume wanaotarajia kuitwa baba...

Wenye mabinti zenu salini sana, ombeni sana....husbands ndo hawa apa.
 
Huyu aliyeandika uzi fala kweli yaani dolari 3500 unaunguza akaunti? Tatizo ni tamaa na hofu, mtu anachukua $1000(2.3M) ananunua pikipiki Boxer anampa dereva amletee sh 7000 kwa siku (3$) yaan kwa wiki 50k(23$) na hapo oil anamwaga mwenyewe yaan ukinunua pkpk kwa $1000 kwa wiki unapata 42k ukimwaga oil hapo hujarekebsha sjui indicator sjui side mirror na nn!( Mtaani wanakuona umefanya bonge la investment) wkt huo pkpk inaweza kuibwa au ikapata total breakdown! Lakini cha ajabu mtu mwingine anataka adeposit $ 1000 kila siku apate $200 forex n taaluma vijana punguzeni punyeto na tamaa
Watu wapumbavu sana. Mtu ana duka la mtaji wa milioni 10 na anapata faida ya siku shilingi elfu 40 mpaka 50 na anaridhika. Kesho anafungua tena duka.

Nakupa mfano, mtu ana duka la jumla. Anauza maji carton 1 anainunua kwa sh 3,300 na kuuza sh 3,500 faida 200 tu. Auze sembe, ngano, mafuta faida ni ndogo ndogo sana. Lakini wananunua mizigo ya millions na wanauza daily kwa kuunga unga hizo hizo 200, mia mbili.


Umewekeza forex $1000, ukipata $20 kwa siku ridhika. Unataka upate kiasi gani? Mbona hiyo ni pesa nyingi tu? Kesho tena fanya hivyo hivyo. Mwisho wa week umeingiza $ 100 au $200 withdraw weka akiba. Yaani umeweka $ 1,000 unataka upate $ 100 daily? Soko hilo la babako?

Mtoa mada ni mpumbavu. Na unelaendeshwa na emotions.
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom