Recent content by omurwanga

  1. omurwanga

    KERO Responded DAWASA Mitaa ya Tabata Segerea kuna shida gani, Mbona hatupati Maji wiki ya tatu sasa?

    Huku Pugu mwezi wa pili huu hatuna maji, halafu kibaya zaidi, wanakaa kimya tu badala watuambie wateja wao tatizo nini na tuchukuwe hatua zapi. Wanatuona manyani tu!
  2. omurwanga

    Natafuta kazi nina Diploma ya IT, Dereva, Data Clerk na Graphic Designer

    Data Entry Assistant at HOPE International Tanzania Data Entry Assistant at HOPE International Tanzania
  3. omurwanga

    Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

    Au Muungano tuachane nao kabisa!
  4. omurwanga

    Mwenye Mawasiliano na wasambazaji wa mbao zenye dawa kutoka Sao Hill

    Katikati ya Tabata relini na kituo cha gereji kushoto kama unaenda Ubungo.
  5. omurwanga

    Hemp fabric

    Nauliza kama kwa hapa Dar kuna kiwanda cha kutengeneza T-shirt kwa material ya Hemp. Kiko wapi?
  6. omurwanga

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Wadau eti humu kuna mtu anajua huu mmea na faida zake kiafya?
  7. omurwanga

    Mdogo wangu yupo UDSM, kuna mwanamke kutoka Rwanda anajigonga

    Achukuwe tu ngoma, ni wazuri sana kwa Katerero, wenyewe wanaita Kunyaza! Ila ajue kwamba siku wakiachana anatorosha watoto na kuwapeleka kwao. Pia awe makini asije kuwa ni mtu wa mfumo!
  8. omurwanga

    Mipira ya kuunganisha kwenye bomba la maji

    Umenisaidia sana.mkuu, mimi nataka mpira kama garden pipe. Unaweza kunipa gharama yake kwa mita kama 25.hivi?
  9. omurwanga

    Mipira ya kuunganisha kwenye bomba la maji

    Wakuu, Naomba kujuzwa bei ya mipira imara ya kuunganisha kwenye bomba la maji kwa ajili ya kujaza tenki la maji na vyombo vingine na mahali naweza kuipata kwa Dar es salaam hasa katika maeneo ya G/Mboto na P/ Kajiungeni. Asanteni.
  10. omurwanga

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Subscribe utakuwa unaupata kwa urahisi pia.
Back
Top Bottom