Huku Pugu mwezi wa pili huu hatuna maji, halafu kibaya zaidi, wanakaa kimya tu badala watuambie wateja wao tatizo nini na tuchukuwe hatua zapi. Wanatuona manyani tu!
Achukuwe tu ngoma, ni wazuri sana kwa Katerero, wenyewe wanaita Kunyaza! Ila ajue kwamba siku wakiachana anatorosha watoto na kuwapeleka kwao. Pia awe makini asije kuwa ni mtu wa mfumo!
Wakuu,
Naomba kujuzwa bei ya mipira imara ya kuunganisha kwenye bomba la maji kwa ajili ya kujaza tenki la maji na vyombo vingine na mahali naweza kuipata kwa Dar es salaam hasa katika maeneo ya G/Mboto na P/ Kajiungeni.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.