Recent content by omuhima

  1. omuhima

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Acheni unafiki, kwann msingemsema kulekuke kwenye uzi wake?, mpka mje kumteta huku🚮🚮🚮🚮
  2. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    😂😂😂😂 akigoogle je?
  3. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Tuko hapa mimi kama aliyekuwa CR wao
  4. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    I second you..😂😂
  5. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Hapo ni morogoro mazimbu
  6. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Kumbe umesoma SUA afu education,😂😂 ni haki yenu wewe na mercy kushona vitenge maana pale mazimbu walimu ndo mnaongoza kwa ushamba😂😂😂
  7. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Na hiyo juive point ya mtaani kwenu ilikuwa inaitwa SETO JUICE POINT
  8. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Kwamba wanaume weupe ndo wanatongozwa?????😂
  9. omuhima

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Waiting for part 5🌝
  10. omuhima

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    😂😂😂😂😂😂 mbona unamuumbua mwenzako hivyo
  11. omuhima

    Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

    😂😂😂 i wish mme wangu kimkute hiki kitu..😂
  12. omuhima

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Nasubiri muendelezo
  13. omuhima

    Chanzo cha moto Kitambaa Cheupe ni fundi kuchomelea (Welding)

    Ameshakuwa lakin maana yupo kwenye early 40’ 😁 sasa si mshangazi huo
  14. omuhima

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    😂😂tena yeye ndo chanzo, baada ya kufungia vituo vya uzalishaji umeme viwili vya pale ubungo afu akakurupuka kuanza mradi wa mwl Nyerere. So hata kama yeye angekuwa hai bado, lazima bado tungepitia huu moto
Back
Top Bottom