Recent content by omugishagwe7654

  1. O

    Mtu mwenye degree anapoenda kujifunza kazi ya waliokosa Elimu ni ujumbe gani tunapata kuhusu Elimu yetu?

    Pole yake lakini ndiyo uelekeo wenyewe. Na ni uelekeo mzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. O

    Ivi Patrobas Katambi yupo!

    Yupo na ni DC Dodoma.
  3. O

    Wakati umefika kuigawa CRDB Bank

    Watz kwa ujumla bado tunajikokota. Crdb mlikuwa mnafanya vizuri lakini mara ya mwisho Msasani branch mliniangusha. Kuna watu niliuliza wakasema tawi hilo ndo zao. Uongozi mliangalie. Issue ya ukabira isipuuzwe maana mteja akihisi hivo tayari inakula kwa benki.
  4. O

    Kazi ya ualimu ni moja ya kazi za lawama sana usipoangalia unaweza kufa maskini au kuishia jela

    Taifa kwa maana ya kila mdau wa elimu na hata taifa lenyewe tuache kushindana na walimu. Tukifanya hivo iwe tunalenga kuboresha kazi ya mwalimu ambayo mwisho wa mwisho ndo kulijenga taifa. Badala ya ubabaishaji tujifunze na tushindane na nchi zilizofanikiwa katika elimu kama Finland, Korea ya...
  5. O

    Wakuu nina shida na kitanda cha mbao inch 5 kwa 6 nipo Unguja Zanzibar

    Hiki analala mtu mwenye urefu gani? Godoro litatoka wapi? Elimu elimu elimu...
  6. O

    Ufafanuzi kuhusu kanisa Katoliki kutokuwafanyia maziko ya kikanisa baadhi ya waamini wake

    Ufafanuzi umenyooka sawasawa. Hakuna mizengwe. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. O

    Kenya vs Tanzania: Mbona Kuna Chuki?

    Angalia tv zao kama huwezi fika kwao na ulinganishe na zetu. Linganisha katiba yao na yetu. Linganisha elimu yao na yetu. Linganisha uchumi wao na wetu. Tz imewekeza kiasi gani Kenya na kinyume chake. nk nk nk nk. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. O

    Hivi Kagera iliikosea nini Serikali mbona inatengwa kiasi hicho?

    Kuna bomba la mafuta kutoka Uganda litapita Kagera. Sgr za kwenda Burundi na Rwanda zote zitapita Kagera. Kuna uwezekano wa kujengwa bomba la gesi kuelekea uganda linaweza pita Kagera. Kwa kweli upande wa meli tumeyeyushwa. Kahawa ni msiba. Lakini kwa ujumla tuna unafuu sana ukilingaisha na...
  9. O

    Ishara 5 kuonyesha utakuja kuwa mtu mwenye nafasi kubwa

    Hutoona picha wala video za dada huyo tena. Maana ana kazi mpya.
  10. O

    Mwanamke wangu hataki nione nyeti zake

    Ningekwambia ila ukishamaliza tatizo lako hutaki kirudi kutueleza kilichotokea.
  11. O

    Rais Magufuli ashiriki ibada ya Pasaka, awataka watanzania wamuombee

    Maombi yanafika kwani 'huwanyeshea mvua wema na waovu'. Sasa si uombe ili hilo pepo la bashite liondoke?
Back
Top Bottom