niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,657
- 5,410
Kuna siku nilienda bank ya crdb tawi la buzuruga. Atm zilikua hazifanyi kazi, tulikaa pale kwa muda kama saa nzima. Kwa pembeni kwenye parking ya magari yao tuliona jamaa mmoja hivi mrefu mwembamba, sijui ndio manager au mfanyakazi wa kawaida. Tulimuiliza tatizo nini, tupo muda mrefu hapa atm hazitoi fedha?CRDB benki tatizo ni management wamefungua vibranch vingi lakini ufanisi zero.,,ndio shida ya ajira za kindugu
Alitujibu kwa nyodo kubabake akaendelea kuongea kwa simu yake.