Recent content by omtiti

  1. omtiti

    Kati ya Mkapa, Kikwete, na Magufuli nani amejenga miundombinu mingi?

    Mbona Nyerere na Mzee Alhassan Mwinyi hujawajumlisha ?
  2. omtiti

    Mwambieni Kinana wanauza mazao nje ya nchi si wakulima ,ni wafanyabiashara

    Kama hujaelewa ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya , pathetic!
  3. omtiti

    Mwambieni Kinana wanauza mazao nje ya nchi si wakulima ,ni wafanyabiashara

    Ifahamike mazao hulimwa na wakulima kisha kulanguliwa na wafanyabiashara, tena yakiwa shambani na kwa bei ndogo sana. Kinana aambiwe ya kwamba lazima tuwe na utaratibu wa kuuza nje na kuingiza bidhaa ndani ya nchi, lengo ni kumlinda mlaji. Mfano kwa sasa mchele umepanda bei kwa sababu soko...
  4. omtiti

    Kagera: Chalamila uso kwa uso na Kinana, apewa angalizo kusuasua kwa barabara ya Kagera - Kigoma

    Kusimamia kazi, na kupeleka fedha za mradi kwa wakati ni mambo mawili tofauti ,pelekeni fedha kwa wakati ili mjue kwanini Chalamila ni RC makini
  5. omtiti

    Marekani kuiuzia Taiwan silaha za Dola Bilioni 1.1

    Wanachochea kuni ,ngoja tuone
  6. omtiti

    TANZIA Mikhail Gorbachev afariki Dunia

    Ndio maana alipanda vyeo harakaharaka ili atimize lengo la kuisambaratisha USSR
Back
Top Bottom