Ifahamike mazao hulimwa na wakulima kisha kulanguliwa na wafanyabiashara, tena yakiwa shambani na kwa bei ndogo sana.
Kinana aambiwe ya kwamba lazima tuwe na utaratibu wa kuuza nje na kuingiza bidhaa ndani ya nchi, lengo ni kumlinda mlaji.
Mfano kwa sasa mchele umepanda bei kwa sababu soko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.