Recent content by omshora

  1. O

    Maswali 7 Ya Godbless Lema Kwa Polisi-Mauaji ya Mtuhumiwa wa Mabomu Arusha

    Hii bangi kwelikweli. Hata kama kauwawa kwa makusudi, ulitaka gaidi mpaka apelekwe mahakamani ili iweje? Kama ndo hiyo natural justice principal, hao aliowaua yeye hakuliona hilo? Shaba ndo saizi pekee ya gaidi. Po lice, well done. ....
  2. O

    Polisi walinzi wa Bank Shinyanga, ni kero kwa wateja

    Wewe ni mhalifu kwa vyovyote vile. Kwa nini uogope polisi eti kisa kaingia na bunduki ndani ya benki. Tena hapo Shinyanga kwenu,ni mwaka jana au juzi majambazi yalipora fedha benki mchana kweupe. Polisi kuingia ndani na siraha ni doria na sehemu ya kazi yake ili wewe mteja uwe salama.
  3. O

    Polisi waliofukuzwa kazi warudishwa kazini!

    Siamini kama Mangu ninaye mjua anaweza kuwa na akiri mbovu namna ile. Mangu ni smart IGP, usimpakazie ujinga.
  4. O

    Picha hizi hatuwatendei haki Polisi

    Nakubaliana kabisa kwamba maadili yameporomoka sana. Ikumbukwe kuwa jeshi la Polisi pamoja na mabaya yote , ni mali ya wananchi. Tabia inayoendelea siku hizi ya kupa-publish maswala ya kipolisi kwenye mitandao ni kosa kubwa kwani ikumbukwe kwamba polisi mmoja ama wawili wanapofanya kosa...
  5. O

    UKAWA watakapotoka tena mwezi ujao!

    Kwanza ukawa inakufa rasmi tarehe 12/10/2014 pale Kibandamaiti Unguja. Siku hiyo Maalimu Seif atatangaza' a new Movement' , Operation Serikali ya Mkataba na kuachana na philosophy ya chadema ya serikali tatu. Hii ni kwa sababu Cuf wamebaini ukawa inawajenga chadema zaidi huku ikikiua chama cha Cuf.
  6. O

    Madaraka Nyerere: Serikali iondoe picha ya Mwl. Nyerere kwenye noti ya sh. 1,000

    Hebu ipige picha hiyo noti tuione. Si kila mtu yuko huko Tz. Kumbuka jf iko dunia yote.
  7. O

    Polisi Geita mnatia aibu,mtuhumiwa amewatoa jasho

    Kwa huo ujasiri wako wa kuwasaidia askari wewe ndo unatakiwa kuitwa kamanda, na siyo tu mtu anajivisha nguo ya kaki halafu naše anajibatiza Kamanda.
  8. O

    Kumekucha: Maalim Seif Hamad Kujiuzulu umakamu wa kwanza wa Rais Zanzibar

    Maalimu Seif anapenda sana ving'ora,hawezi kujiuzuru hata kidogo. Yuko radhi hata kufa lakini asiachane na king'ora, sasa ikikiuzuru si ndo byebye king'ora!!!!!.....haiwezekani. ..
  9. O

    Uharamia wa CCM: Mbunge Highness Kiwia afanyiwa operesheni masaa 6

    Nakushukuru sana. Kwanza unaonyesha ni mwelewa na muungwana na siyo kama hawa vijana watumwa wa siasa ambao kwao wanachokijua ni matusi. I hate them irrespective of being opposition or ruling part followers. Kilichopo kwa Mh Kiwia,kama anaona haki inacheleweshwa kwa kutumia jeshi la Polisi...
  10. O

    Rais Kikwete amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa mashtaka (DPP)

    Biswalo! !!! Hiyo ni mashine toka kanda maalum! !!! Kwa vyovyote, hilo ni jembe. ...
  11. O

    Uharamia wa CCM: Mbunge Highness Kiwia afanyiwa operesheni masaa 6

    Nadhani mleta mada na baadhi ya wachangiaji humu hawaelewi na hawana ufahamu kwa wanayoyaongea. Ni kweli Mh Kiwia alivamiwa na kuumizwa. Kwa binadamu yoyote mwenye hofu ya Mungu,hilo ni jambo baya na linapaswa kulaaniwa bila kujali lilitekelezwa na nani. Imani yangu, na naamini wengi hamjui ni...
  12. O

    Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

    No offence commited here. The lady is above the minority and the law is silence on the boy. Sanasana ni kosa la kinidhamu kwa mwalimu na mwanafunzi. Ni aina ya makosa madogo, no need for Tamwa intervention. Mwalimu mkuu au DED anaweza kutoa adhabu na sanasana ni kumhamisha mwalimu na kumpa...
  13. O

    Chadema kushindwa kusimamia agenda zao

    Mimi napenda mageuzi, lakini kwa type ya CHADEMA hapana. Tatizo la hawa watu, wengi wanaendeshwa na bhangi. Si kwa viongozi, tena wa nafasi za juu kabisa wala kwa washahabiki wao. Wanadhania politics ni kupiga makerere na kufanya unscientific violations. Tujirekebishe, nafasi tunayo bado.
  14. O

    Mnyika: Maharamia wamefanya uharamia kupitisha Katiba Haramu

    Wewe ni sawa na mfa maji. Lazima utatapatapa tu. Uchambuzi wako huu ni mwepesi mno na hauna mashiko yoyote. Tatizo ni kwamba CUF mmechezeshwa ngoma msiyoijua na Chadema. Sisi wananchi tulidhani vijana kama wewe mngekuwa tumaini la wanyonge, kumbe tulipotea sana. Chadema wamewatumieni kujijenga...
  15. O

    Uchakachuaji wa Rasimu ya Katiba huu hapa

    Umekumbuka shuka asubuhi. ..pole saana.
Back
Top Bottom