Hii bangi kwelikweli. Hata kama kauwawa kwa makusudi, ulitaka gaidi mpaka apelekwe mahakamani ili iweje? Kama ndo hiyo natural justice principal, hao aliowaua yeye hakuliona hilo? Shaba ndo saizi pekee ya gaidi. Po lice, well done. ....
Wewe ni mhalifu kwa vyovyote vile. Kwa nini uogope polisi eti kisa kaingia na bunduki ndani ya benki. Tena hapo Shinyanga kwenu,ni mwaka jana au juzi majambazi yalipora fedha benki mchana kweupe. Polisi kuingia ndani na siraha ni doria na sehemu ya kazi yake ili wewe mteja uwe salama.
Nakubaliana kabisa kwamba maadili yameporomoka sana. Ikumbukwe kuwa jeshi la Polisi pamoja na mabaya yote , ni mali ya wananchi.
Tabia inayoendelea siku hizi ya kupa-publish maswala ya kipolisi kwenye mitandao ni kosa kubwa kwani ikumbukwe kwamba polisi mmoja ama wawili wanapofanya kosa...
Kwanza ukawa inakufa rasmi tarehe 12/10/2014 pale Kibandamaiti Unguja. Siku hiyo Maalimu Seif atatangaza' a new Movement' , Operation Serikali ya Mkataba na kuachana na philosophy ya chadema ya serikali tatu.
Hii ni kwa sababu Cuf wamebaini ukawa inawajenga chadema zaidi huku ikikiua chama cha Cuf.
Maalimu Seif anapenda sana ving'ora,hawezi kujiuzuru hata kidogo. Yuko radhi hata kufa lakini asiachane na king'ora, sasa ikikiuzuru si ndo byebye king'ora!!!!!.....haiwezekani. ..
Nakushukuru sana.
Kwanza unaonyesha ni mwelewa na muungwana na siyo kama hawa vijana watumwa wa siasa ambao kwao wanachokijua ni matusi.
I hate them irrespective of being opposition or ruling part followers.
Kilichopo kwa Mh Kiwia,kama anaona haki inacheleweshwa kwa kutumia jeshi la Polisi...
Nadhani mleta mada na baadhi ya wachangiaji humu hawaelewi na hawana ufahamu kwa wanayoyaongea.
Ni kweli Mh Kiwia alivamiwa na kuumizwa. Kwa binadamu yoyote mwenye hofu ya Mungu,hilo ni jambo baya na linapaswa kulaaniwa bila kujali lilitekelezwa na nani.
Imani yangu, na naamini wengi hamjui ni...
No offence commited here. The lady is above the minority and the law is silence on the boy. Sanasana ni kosa la kinidhamu kwa mwalimu na mwanafunzi. Ni aina ya makosa madogo, no need for Tamwa intervention. Mwalimu mkuu au DED anaweza kutoa adhabu na sanasana ni kumhamisha mwalimu na kumpa...
Mimi napenda mageuzi, lakini kwa type ya CHADEMA hapana.
Tatizo la hawa watu, wengi wanaendeshwa na bhangi. Si kwa viongozi, tena wa nafasi za juu kabisa wala kwa washahabiki wao.
Wanadhania politics ni kupiga makerere na kufanya unscientific violations.
Tujirekebishe, nafasi tunayo bado.
Wewe ni sawa na mfa maji. Lazima utatapatapa tu. Uchambuzi wako huu ni mwepesi mno na hauna mashiko yoyote.
Tatizo ni kwamba CUF mmechezeshwa ngoma msiyoijua na Chadema.
Sisi wananchi tulidhani vijana kama wewe mngekuwa tumaini la wanyonge, kumbe tulipotea sana. Chadema wamewatumieni kujijenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.