UKAWA watakapotoka tena mwezi ujao!

UKAWA watakapotoka tena mwezi ujao!

Ujue wengine tulikula bata tulipokuwa rumande.Kwa hiyo usishangae mkuu.
Betlehem kusema ukweli nakuchukia kwa jinsi ulivyomnafiki kujifanya mpinzani wakati unajua wazi mnatumika na CCM ili kuua upinzani!!!!!!! Natamani ningekuwa na uwezo watu kama nyie wote niwapoteze kabisa ila Mungu kaacha Magugu na Ngano zimee pamoja, ingawa magugu haya hakika yanaharibu mazao. ACT ni gugu
 
Mkuu Betlehem UKAWA walikimbia mjadala baada ya kushindwa kutamka bayana matakwa yao (kuruhusu mapenzi na ndoa za jinsia moja) kuwekwa katika rasimu ya katiba mpya iliyopendekezwa.
 
Wadau,

Mtaalam mmoja wa kijeshi anasema, tabia fulani inapopandikizwa vya kutosha ndani ya kicha cha mtu, tabia pandikizi hugeuka na kuwa kama "Second nature" kwa mhusika. Kwa mfano anasema, mtu wa kawaida kabisa anavyojiunga na jeshi, hupandikiziwa tabia ya upiganaji na uvaaji wa magwanda katika kiwango ambacho tabia hiyo huwa ni kama "Second nature" kwa muhusika na huifurahia hali hiyo.

Kwa kuwa UKAWA wamepandikiziwa tabia ya kukimbia mijadala kwa kiwango ambacho tabia hiyo imekuwa kama "second nature" kwao, na kwa kuwa hivi karibuni inatarajiwa kwamba bunge litakutana tena kwa ajili ya kubadilisha sheria kadhaa kuhusu mchakato wa katiba mpya na kuboresha baadhi ya vifungu katika katiba ya 1977, Inatarajiwa kwamba watagoma tena na kuondoka zao.

Sasa kama watagoma kama kawaida; unashauri nini Kifanyike kati ya machaguo matatu ambayo yamekuwepo wakati wote.
1. Rais kuwaita ikulu?
2. Wabunge wanaotaka kuendelea (coalition of the willing ) kuendelea?
3. Mchakato wa marekebisho ya katiba 1977, usitishwe na tuendelee na yo kama ilivyo hadi hapo mpya itakapopitishwa?

wewe bethelem nasikia Yesu kazaliwa pande hizo ni kweli?? kama kweli basi tutarajie UKAWA, CCM na TANZANIA yetu kupata ukombozi. si si mkombozi amezaliwa???

 


wewe bethelem nasikia Yesu kazaliwa pande hizo ni kweli?? kama kweli basi tutarajie UKAWA, CCM na TANZANIA yetu kupata ukombozi. si si mkombozi amezaliwa???


Siku zote akili zako ni fupi kama ulivyo mfupi,hizo habari peleka mwandinga
 
Wadau,

Mtaalam mmoja wa kijeshi anasema, tabia fulani inapopandikizwa vya kutosha ndani ya kicha cha mtu, tabia pandikizi hugeuka na kuwa kama "Second nature" kwa mhusika. Kwa mfano anasema, mtu wa kawaida kabisa anavyojiunga na jeshi, hupandikiziwa tabia ya upiganaji na uvaaji wa magwanda katika kiwango ambacho tabia hiyo huwa ni kama "Second nature" kwa muhusika na huifurahia hali hiyo.

Kwa kuwa UKAWA wamepandikiziwa tabia ya kukimbia mijadala kwa kiwango ambacho tabia hiyo imekuwa kama "second nature" kwao, na kwa kuwa hivi karibuni inatarajiwa kwamba bunge litakutana tena kwa ajili ya kubadilisha sheria kadhaa kuhusu mchakato wa katiba mpya na kuboresha baadhi ya vifungu katika katiba ya 1977, Inatarajiwa kwamba watagoma tena na kuondoka zao.

Sasa kama watagoma kama kawaida; unashauri nini Kifanyike kati ya machaguo matatu ambayo yamekuwepo wakati wote.
1. Rais kuwaita ikulu?
2. Wabunge wanaotaka kuendelea (coalition of the willing ) kuendelea?
3. Mchakato wa marekebisho ya katiba 1977, usitishwe na tuendelee na yo kama ilivyo hadi hapo mpya itakapopitishwa?

akili kama uto.ko
 
Wewe ndiye mweny tatizo hilo la "Second nature" maana umekariri badala ya kuelewa kama kila wafanyapo hivyo huwa kuna sababu za hakuna namna nyingine kulingana na tukio husika.

Fikiria upya aisee!
 
Wadau,

Mtaalam mmoja wa kijeshi anasema, tabia fulani inapopandikizwa vya kutosha ndani ya kicha cha mtu, tabia pandikizi hugeuka na kuwa kama "Second nature" kwa mhusika. Kwa mfano anasema, mtu wa kawaida kabisa anavyojiunga na jeshi, hupandikiziwa tabia ya upiganaji na uvaaji wa magwanda katika kiwango ambacho tabia hiyo huwa ni kama "Second nature" kwa muhusika na huifurahia hali hiyo.

Kwa kuwa UKAWA wamepandikiziwa tabia ya kukimbia mijadala kwa kiwango ambacho tabia hiyo imekuwa kama "second nature" kwao, na kwa kuwa hivi karibuni inatarajiwa kwamba bunge litakutana tena kwa ajili ya kubadilisha sheria kadhaa kuhusu mchakato wa katiba mpya na kuboresha baadhi ya vifungu katika katiba ya 1977, Inatarajiwa kwamba watagoma tena na kuondoka zao.

Sasa kama watagoma kama kawaida; unashauri nini Kifanyike kati ya machaguo matatu ambayo yamekuwepo wakati wote.
1. Rais kuwaita ikulu?
2. Wabunge wanaotaka kuendelea (coalition of the willing ) kuendelea?
3. Mchakato wa marekebisho ya katiba 1977, usitishwe na tuendelee na yo kama ilivyo hadi hapo mpya itakapopitishwa?

Ukiwa na kajiuwerevu kidogo darasani ukapewa majina makubwa haikuondelei 'second nature'; cynics, elimu ya kitanzania, maisha duni, no future, ukinabo, kupiga deal town, utumwa, ufisadi, unafiki, uzandiki nk.

Nakupa angalizo msomi wewe duni, katafute platform za size yako, kwa nini unapenda kujizalilisha na kujipima kimawazo na watu wasio size yako? Mtu wa wapi wewe? Brain psychology watu haijatokea jeshini, mbona unapenda jengo hoja sisizo na mashiko kwa kutumia wrong arguments, unaharibu taaluma za vijana wetu. Kama unataka platform, kuna jamaa mhindi anapublication zaidi ya 24 nature kuhusu brain psychology tu, nenda kapambane naye, maswala ya ukawa na second nature wapi na wapi kama siyo ukichaa huu? You are not doing justice to the science community.

Only in Tanzania.
 
Wadau,

Mtaalam mmoja wa kijeshi anasema, tabia fulani inapopandikizwa vya kutosha ndani ya kicha cha mtu, tabia pandikizi hugeuka na kuwa kama "Second nature" kwa mhusika. Kwa mfano anasema, mtu wa kawaida kabisa anavyojiunga na jeshi, hupandikiziwa tabia ya upiganaji na uvaaji wa magwanda katika kiwango ambacho tabia hiyo huwa ni kama "Second nature" kwa muhusika na huifurahia hali hiyo.

Kwa kuwa UKAWA wamepandikiziwa tabia ya kukimbia mijadala kwa kiwango ambacho tabia hiyo imekuwa kama "second nature" kwao, na kwa kuwa hivi karibuni inatarajiwa kwamba bunge litakutana tena kwa ajili ya kubadilisha sheria kadhaa kuhusu mchakato wa katiba mpya na kuboresha baadhi ya vifungu katika katiba ya 1977, Inatarajiwa kwamba watagoma tena na kuondoka zao.

Sasa kama watagoma kama kawaida; unashauri nini Kifanyike kati ya machaguo matatu ambayo yamekuwepo wakati wote.
1. Rais kuwaita ikulu?
2. Wabunge wanaotaka kuendelea (coalition of the willing ) kuendelea?
3. Mchakato wa marekebisho ya katiba 1977, usitishwe na tuendelee na yo kama ilivyo hadi hapo mpya itakapopitishwa?

na we kwa.maoni yako mafupi kama mkia wa baba yako, unafkri nn kifanyike????
 
Wadau,

Mtaalam mmoja wa kijeshi anasema, tabia fulani inapopandikizwa vya kutosha ndani ya kicha cha mtu, tabia pandikizi hugeuka na kuwa kama "Second nature" kwa mhusika. Kwa mfano anasema, mtu wa kawaida kabisa anavyojiunga na jeshi, hupandikiziwa tabia ya upiganaji na uvaaji wa magwanda katika kiwango ambacho tabia hiyo huwa ni kama "Second nature" kwa muhusika na huifurahia hali hiyo.

Kwa kuwa UKAWA wamepandikiziwa tabia ya kukimbia mijadala kwa kiwango ambacho tabia hiyo imekuwa kama "second nature" kwao, na kwa kuwa hivi karibuni inatarajiwa kwamba bunge litakutana tena kwa ajili ya kubadilisha sheria kadhaa kuhusu mchakato wa katiba mpya na kuboresha baadhi ya vifungu katika katiba ya 1977, Inatarajiwa kwamba watagoma tena na kuondoka zao.

Sasa kama watagoma kama kawaida; unashauri nini Kifanyike kati ya machaguo matatu ambayo yamekuwepo wakati wote.
1. Rais kuwaita ikulu?
2. Wabunge wanaotaka kuendelea (coalition of the willing ) kuendelea?
3. Mchakato wa marekebisho ya katiba 1977, usitishwe na tuendelee na yo kama ilivyo hadi hapo mpya itakapopitishwa?

Kwanza ukawa inakufa rasmi tarehe 12/10/2014 pale Kibandamaiti Unguja. Siku hiyo Maalimu Seif atatangaza' a new Movement' , Operation Serikali ya Mkataba na kuachana na philosophy ya chadema ya serikali tatu.
Hii ni kwa sababu Cuf wamebaini ukawa inawajenga chadema zaidi huku ikikiua chama cha Cuf.
 
Back
Top Bottom