Ongera Myika kwa kuweka wazi, wananchi tumekuchagua sio kwa shahada bali uwezo ulionao. Kwa jinsi unavyochangia bungeni na unavyoendesha siasa unajitofautisha na wasomi vyeti. Siku moja tulimuuliza Mtikila pale SUA kuhusu elimu na majibu yake alisema yeye ahamini katika vikaratasi bali utendaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.