Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,108
- 2,553
kweli wachaga wanajali mkoa wao na kupenda vya kwao,baada ya serengeti kujenga kiwanda cha bia Moshi bia za TBL zimekosa wateja,wote wanakunywa bia za serengeti,wanasema KIWANDA CHETU BIA ZETU!