Recent content by ommywamvomelo

  1. O

    Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

    Tujadili hoja ilowasilishwa sio kujibu kwa dhana na mitazamo ya kidhabiki. CCM wamefika hapa walipo kwa mfumo huu wa kutokutaka kuambiana ukweli, eti utaonekana umetumwa huu sio ukomavu wa kisiasa. Tujitizame upya.
  2. O

    Shirika la Nyumba (NHC) ni kwa ajili ya MISHAHARA ya WAFANYAKAZI tu, hakuna faida kwa NCHI

    Nikweli kabisa seems you know well this organisation, hakuna cha maana kinacho fanyika zaidi ya kujifaidisha wao kwa mishahara minono. Lakini yote kwa yote tunaamini serikali hii ni sikivu na mungu anasikia kilio cha watu wake maana ndugu zetu wengi kawaachisha kazi nawengine kuwahamishia...
  3. O

    Wajumbe Kamati Kuu CHADEMA wamuonya Zitto.

    Haikubaliki kuandaa mikutano bila ridhaa ya chama. Zitto amekiuka chama kichukue hatua stahiki.
  4. O

    Picha: Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara

    Chief! You need to differentiate your self other in order to shine. This is the life of competition remember!!
  5. O

    Picha: Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara

    Binafsi nimependa muitikio wa wanakasulu. Nadhani kamanda atatumia fulsa hiyo kuwaunganisha wanakigoma na chadema maana yeye bado ni mbunge wa chadema. Hoja ya msafara huo kuandaliwa na wana CCM sikubaliani nayo, maana kusema hivyo ni kuwadhalilisha wana kasulu, chadema na kuwapaisha CCM...
  6. O

    Kinachofanywa na Dr.Slaa na Mbowe ni kumjenga Zitto Z. Kabwe na si vinginevyo

    Kitendo cha katibu mkuu na mwenyekiti wa chama kutumia fedha nyingi za chama kuzunguka sehem mbalimbali za nchi ili kumzungumzia Zitto na wenzake inaonyesha nikwakiwango gani wanavyo muhofia zzk na tusipokuwa makini tutamjenga zaidi Zzk maanaa watanzania wa sasa wanauelewa mkubwa tofauti na...
  7. O

    CHADEMA yazindua Sera Mpya

    Good news. Sera hii itatupeleka airport soon tutapaa tuu. Chamsing tuungane tuu maana penye ufa.......?????
  8. O

    Je Unaridhika na Maazimio Ya kamati kuu Chadema?

    Binafsi nakubaliana na maamuzi ya kikao.
  9. O

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Hii ni aibu sana. Lakini nasisitiza sana tena sana Zitto bado ni muhimu sana kwetu. Kuvuliwa vyeo vyote siotija kwa mwanachama myaminifu.
  10. O

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Teamzitto haijatulia. ....!!!! Zikianza team ndani ya chama tumekwishaa
  11. O

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Zitto, umeonyesha the way ulivyopikwa kisiasa uko juu kaka. Hakika wapo watakayo yaona maneno yako ni ya kinafiki lkn wenye busara wameona unaepusha nini na unamaanisha nini. You deserve to be a leader, usikate tamaa kumbuka mti wenyematunda mazuri ndio unaopigwa nawe. Napenda unavyolinda...
  12. O

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Haya ndio niliyoyategemea kwa kamanda zitto. Namfahamu kwa ujasiri wake na misimamo yake hayumbishwi,hivyo hayuko radhi kukivuruga chama kwa hayo yalotokea. Big up chief.
  13. O

    Zitto na Anachokwenda Kusema kwa Waandishi Wa Habari...!

    Inasikitisha sana tunapokuwa tunapingana kwa hoja za kitoto na matusi!!!!!. Tujaliwa kuutumia uwanja huu kwa kuleta maendeleo chanya wala tusijenge chuki baina yetu. Point to note , hatupaswi kudharau mchango wa mtu hasa kipindi kama hiki. Let people contribute their views.
  14. O

    TETESI: CCM, CUF na CHADEMA Kupigwa Leo Mchana - MBUNGE NCCR MAGEUZI

    Probably! Wanaomtazama zitto ndani ya chama kingine cha siasa they don't know him, what I can see Zitto is still strong and committed within chadema. Anyway watu hubadilika lkn let see. Time will prove each any everything. Note: kama taifa bado tunahitaji mchango na busara za wa kijana...
Back
Top Bottom