'' We are not fighting against terrorism but we are fighting agaist ISLAM. Haya yalikuwa ni maneno ya mgombea Urais wa marekani mwaka 2008 ambaye alikuwa ni mpinzani wa Obama na aliyaongea hayo wakati akinadi sera zake mbele ya waamerika...ndugu yangu fuatilia mambo kwa kina uckurupuke. Ukitaka...
Watu wengine bana kwa hiyo ww hapa jamiiforum ndio panakufanya shabiki mkubwa wa liverpool..mahali ambapo hata sura yako hainokenai..zipo sehemu nyingi mashabiki wa liverpool wanaonyesha mapenzi na timu yao hata katika vipindi vigumu vilivyopita acha hizo ww..kwanza nazni huwajui vizuri...
Napata tabu, naogopa na kuanza kutetemeka hivi kumbe nguvu ya vatican ni kutimiza andiko la Injili na yesu mwenyewe....sasa inkuwaje kitu kikubwa na cha heshima namna hii kwa wakristo kinakuwa na sifa chafu na za kishetani kama kulawiti, kunajisi, kubaka, usagani na ushoga....kwa mujibu wa...
Acha hizo bana niaje.....? Hivi mtu anayezikwa na mavi yake tumboni na yule anayesafishwa kutolewa uchafu wote tumboni ili akutane na mungu wake akiwa safi...yupi ndio mchafu....?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.