Recent content by ommy255

  1. ommy255

    DC Mrisho Gambo wa Arusha amhujumu mkuu wa mkoa

    Nawe ni wakujipendekeza kama huamin pita hivi hujalazimishwa kuamin, ndio maana nasikia harufu mbaya kumbe gamba lishaingia humu.
  2. ommy255

    DC Mrisho Gambo wa Arusha amhujumu mkuu wa mkoa

    Acha wafu wazikane wao kwa wao ndio shida ya vyeo ya kujipendekeza na kufanya kazi bila ya kufuata utaratibu wa kisheria za mipaka ya uongozi, mwishowe unakuja kutolewa kwa aibu wa kujipendekeza ila jamaa asipojiekebisha ipo cku atapotezwa
  3. ommy255

    Rai yangu kwa kada wa CCM na Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini Ndugu Mrisho Gambo

    Umetoka kwenye msumari wa moto, soma kwa makin halafu uangalia kama pameropokwa hapo, Arusha hii hamtaiweza tukiwachapa bao 24
  4. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Tafsiri utakavyoelewe wewe elewa ulivyoelewa, mnaakili za kitoto ndio maana, Hamuishi kujipendekeza kwa viongozi wenu haya mimi simo kujipendekeza kwenu itawatokea puani, Sorry hivi ukuu wa wilaya umeupa???
  5. ommy255

    Mzee wa Upako: CCM wanamuogopa Lowassa

    Ha ha ha chama cha mang'ombe yaliyokatwa mikia
  6. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Vijana wa ccm mnaakili ndogo sana kwa akili zako na mzee wenu wa PRL nawafananisha na kichaa, Chadema ni taasisi kubwa taasisi hiyo imebeba robo 3 ya Watz kwamwe haiwez kuuzika hata kwa kupewa mali zote za duniani, Najua umekosa hoja za kujibu na si ww tu hadi viongozi wenu wa kitaifa Lowassa...
  7. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Wavuta bangi ni viongoz wako wanaoongeaga utumbo mfano mmoja ni huyo makonda kila siku kauli za ajabu na haziwah kutekeleza na kiongoz mwingine team kukurupuka kashindwa kutatua sukari tu je? Ataweza kuongoza Nchi hii kama sukari limemshinda, haya nenda Lumumba kachukue Buku 7 kwa kuuza utu wako...
  8. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Zaidi ya %90 ya Watz hawana iman na jeshi la police, kuliko police akulinde ni bora ukatafuta mbwa koko akulinde kuliko police, nikweli police huwa wanahusika na uporaji,Watz wakae mbali na polifisemu
  9. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Hii Nchi si ya mama yako wala ya mafisiemu Nchi ya vyama vingi huuongwa kwa sheria na maridhiano sasa nyie mnaleta ubabe iko cku nahao vibaraka wa poccm watachoka tu hakuna marefu yasiyokuwa na Nncha, ndamamizeni tu upinzan mwisho wa cku mtaanza kujuta na kutupiana lawama.
  10. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Fisiemu imechokwa ndio maana juzi wajumbe wako 2000 na upuuzi police wako zaid ya 4000 kama mnajiamin kwel msitumie jeshi halafu muone, huo ni ushahid tosha fisiemu hampendwi na Watz
  11. ommy255

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    We kweli ndio kilaza hebu jiulize je? Ingelikuwa ni Chama cha upinzan mngetupiga mabomu, Mbona mlisambaratisha mkutano ndani kwa Chaso? Pia mbona mliusambaratisha mkutano wa ndani kwa A.c.t hilo unalijua kwa kutetea ujinga na ushabiki wa kishamba ipo cku mtakuja kuyajutia Watz hususani wa...
  12. ommy255

    Sumaye: CCM kaa chonjo

    Ha ha ha ccm wote duuuh hata kama wametutukana wapinzani sitojali ila naota na ninachojua mm wanaccm wengi ni visukar tu sasa ukilinganisha kuuza utu wao na huku anakisukari atakufa na anaibiwa live anakufa
  13. ommy255

    Sumaye: CCM kaa chonjo

    Inasaidia coz unajipendeza kwa njaa za ajabu umeuza utu wako haya nenda kalipwe lumumba buku 7. Mwanaume mzima unajipendekeza endelea kujipendekeza na hujapata ukuu wa wilaya
  14. ommy255

    Mahafali ya CHASO Dodoma kufanyika tarehe 23 July 2016

    Mkuu hao ni police ccm wako kwa ajili ya ccm ndio shida
Back
Top Bottom