Recent content by ommy15

  1. ommy15

    Speedaf wana changamoto gani?

    Wengi waliokuwa mawakala wa Kikuu pia ndio hao hao
  2. ommy15

    Speedaf wana changamoto gani?

    Mkuu mimi niliagiza taa za gari Alli express. Mzgo ulifika haraka sana siwezi walaumu speedaf shida ipo kwa wabongo wenzetu mawakala wao ambao kwa huku kwetu ni mawakala wanaopokea na mizigo ya kukuu. Mzgo ulifika dar ndani ya siku 10 tu. Toka dar hadi nilipo imechukua mwezi mzma,ikabidi...
  3. ommy15

    Nimepokea mzigo kutoka Ali Express kupitia Posta

    Mkuu unaweza kuelezea namna gani nitawaunganisha muuzaji wa aliexpress na hawa safirishaji Let say Mapembelo cargo au silent ocean
  4. ommy15

    Speedaf wana changamoto gani?

    Sorry mkuu,utaratubu wao wa kupata mzgo ukoje hasa kwa sisi tulio mikoani?
  5. ommy15

    Uzoefu wangu leo kupokea mizigo Speedaf

    Inamaana kupata mzgo lazima mteja afike dar? Kwa sisi wa mikoani utaratibu ukoje?
  6. ommy15

    Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

    Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
  7. ommy15

    Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

    Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
  8. ommy15

    Video: Kama wazazi tumejenga mazoea na watoto wetu wa kike namna hii, tutawaacha salama kweli!?

    Kuna binti nimewahi kuwa na mahusiano nae nilimuacha kwa sababu ya baba yake. Yule binti ukishinda nae siku nzima anamiongelea baba yake tu. Ilifika sehemu nilichoka hadi nikaanza kupata hisia mbaya dhidi ya baba yake nikaamua kumuacha kabisa.
  9. ommy15

    Naomba kujuzwa gharama za kupanda Mlima Kilimanjaro

    Wakuu mimi nafikiria mwaka huu nifike huko ila lengo nifike maeneo jirani na mlima sehemu ambazo nitapata view nzuri ya mlima. Nipo na watoto so sihitaji kupanda mlima. Ni maeneo gani mazuri
  10. ommy15

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Kumbuka hao ni maaskofu,hapo ni degree,masters na Phd tupu sio makanjanja hao
  11. ommy15

    Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

    Pole mkuu,chakufanya hiiyo hela uliyoplan kumpatia nunua zawadi ya mtoto kama tayari amepata mtoto kama bado nunua hata kitenge mpelekee.
  12. ommy15

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Kaka naona unaijua sana na hii sekta. Mungu akijalia mwisho wa mwaka huu nitaingia huko naomba nikutafute nipate madini.
  13. ommy15

    Wamiliki wa lodge kuweni serious

    Mkuu unafikiri muda mzuri wa kuachia chumba ni saa ngapi?
Back
Top Bottom