Mkuu mimi niliagiza taa za gari Alli express. Mzgo ulifika haraka sana siwezi walaumu speedaf shida ipo kwa wabongo wenzetu mawakala wao ambao kwa huku kwetu ni mawakala wanaopokea na mizigo ya kukuu. Mzgo ulifika dar ndani ya siku 10 tu. Toka dar hadi nilipo imechukua mwezi mzma,ikabidi...
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
Kuna binti nimewahi kuwa na mahusiano nae nilimuacha kwa sababu ya baba yake. Yule binti ukishinda nae siku nzima anamiongelea baba yake tu. Ilifika sehemu nilichoka hadi nikaanza kupata hisia mbaya dhidi ya baba yake nikaamua kumuacha kabisa.
Wakuu mimi nafikiria mwaka huu nifike huko ila lengo nifike maeneo jirani na mlima sehemu ambazo nitapata view nzuri ya mlima. Nipo na watoto so sihitaji kupanda mlima. Ni maeneo gani mazuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.