kwakawaida mlango huo ni mkubwa na mara nyingi inakuwa 2in one.Hii ni kwa ajili ya usalama ,kwani upo mbali na sehemu zingine kama jikoni au sehemu ya nyuma ya nyumba.
Kwani vyombo vya dola si vipo.Vichunguze upotevu huo na wahusika wapilekwe kwa Pilato.Hao wafanyakazi wanahusikaje na huo wizi ,unless utuambie wapo wanao husika ,na kama wapo Mahakama zipo.Yeye hawezi kujifanya Mahakama ama Polisi.
Haya Makanisa na Misikit sio tatizo kwani sio kila siku ..Hizi studio au library zilizojaa mitaani zinapiga musiki tangu asubuhi mpaka usiku tena kwa sauti kubwa mbona hamzitaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.