Jf kwa wakubwa na wadogo salaam. Jambo moja ambalo nimelishuhudia vya kutosha ni hili ambalo naomba niwashirikishe halafu tuchambue kwa pamoja.
Ni kuhusu nyumba nyingi sana zilizojengwa kisasa ni kwa nini ule mlango mkubwa ambao ndio unatumika kuingilia Sebuleni huwa hautumiki badala yake unatumika ule mlango wa kuingilia jikoni kisha ndio uende tena Sebuleni!? Yaani pamoja na mbwembwe zote za urembo wa barazani lakini hapapitiki hata dada wa kazi akideki lazima azunguke hata makufuli yanayofungia yale magrill unaweza kuta yana kutu kwa nini huu mlango hautumiki? Ilikuwa na haja gani ya kuuweka sasa!
Hebu tusaidiane kuwazuwa nione kama kuna wenye mawazo kama yangu.
Ni kuhusu nyumba nyingi sana zilizojengwa kisasa ni kwa nini ule mlango mkubwa ambao ndio unatumika kuingilia Sebuleni huwa hautumiki badala yake unatumika ule mlango wa kuingilia jikoni kisha ndio uende tena Sebuleni!? Yaani pamoja na mbwembwe zote za urembo wa barazani lakini hapapitiki hata dada wa kazi akideki lazima azunguke hata makufuli yanayofungia yale magrill unaweza kuta yana kutu kwa nini huu mlango hautumiki? Ilikuwa na haja gani ya kuuweka sasa!
Hebu tusaidiane kuwazuwa nione kama kuna wenye mawazo kama yangu.