Tatizo la kuja na mada bila utafiti wa kutosha ndiyo hili hapo hakuna chochote kwenye hiyo list hapo kuna watu wana mishahara bana katengeneze list nyingine hizo taasisi inawezekana hao watu wa Karibu yako wanakuzidi mshahara unadhani ndiyo wanalipa vizuri just kwa sababu unalipwa kidogo ya wao..
Mimi bana nadhani ni vizuri kukosoa budget lakini comparator pia tutumie the most recent lakini kingine cha muhimu unapokosoa jitahidi kutoa na alternative solution siyo kila kitu mtu anafeli kuna vingine anafaulu..anapongezwa vile anavyofeli anaambiwa alipofeli na anashauriwa namna bora ya...
Kwanza nimpongeze mtoa hoja, Mimi ni mmoja wa watu ambao nimefaidika na huo mfuko.. lakini ni vizuri kuuelewa huu mfuko vizuri maana shughuli zake ni fidia tu! waingereza wanaita Compensation.
Ni kweli kuna changamoto kidogo kwenye ukokotoaji wa fidia maana fidia inakokotolewa kwa kutumia...
Imesaidia wale waliopata majanga makazini wanaotakiwa kulipwa kulingana na Sheria iliyoanzisha mfuko huo..nadhani swala la takwimu ni Lao wenyewe kutoa..lakini nachojua ni endapo unahitaji takwimu unaweza kuwasiliana nao na ukapata takwimu sahihi zaidi from the source.
Na la kuongezea ni kwamba huu mfuko unamlipa mtumishi fidia, Bima inaweza kukupatia matibabu lakini haiwezi kufidia kipato kinachotokana na athari uliyopata..mifuko ya pensheni inakulipa mafao kulingana na michango yako na ni pale unapokosa kipato hii siyo fidia..lakini mfuko wa fidia unakul
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.