Mimi si mhusika wahusika ni vijana waliooana hivi karibuni sasa wakaamua wanishirikishe kwa kuwa Mimi ni mhenga ndipo nikabaki kinywa wazi maana sijawahi kukutana na kesi kama hii.Ndipo niliamua nilete kisa hivi hapa jukwaani na nimejifunza mengi.
Hakuna mwanadamu anayeweza kushinda dhambi kwa nguvu zake Wala kwa msaada wa mwanadamu mwenzake.Tunashinda dhambi kwa msaada wa Mungu na Wala so kwa nguvu zetu.
Anang'atwa wakati wa tendo la ndoa kwa miezi michache ya ndoa kifua Cha mwanaume kimejaa makovu na vidonda mwanamke anasema kuwa wakati alifanya hivyo huwa hajitambui.
Salam kwa wanajukwaa,.
Kuna kisa kimoja ambacho nimekutana nacho katika kushauri wanandoa wapya ambao ndoa yao ina kama miezi miwili tu tangu walipofunga pingu za maisha.
Nilibaki kinywa wazi baada ya kijana kuanza kutoa maelezo na alipovua shati kifua chote...
Bila Shaka mleta maada ni muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?
Bila Shaka mleta maada muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.