Hakuna tena Mahubiri ya habari njema, kuacha dhambi, msisitizo ni matoleo

Toa sadaka mleta mada.
Mbona kuhonga unahonga au kula unakula daily?
Kama hutaki kutoa sadaka basi acha sio kuja kumwaga shombo huku mambo ya kiimani yanaenda kiimani.
Samahani Mtumishi kama ninawaharibia
 
HapoLeo nimepata mafundisho kutoka kwa Padri na si tapeli. Amesema uhusiano wa kwanza wa binadamu uwe kati yako wewe na Mungu kwa sala. Sala humuweka shetani mbali.

Uhusiano wa pili ni kujitoa kwaajili ya wenye uhitaji. Huwezi kujiita Mkristu wakati kuna mjane unaemfahamu ana shida ya pango. Hata ikibidi ukose chakula msaidie.

Tatu funga hata siku moja kwa wiki. Yesu mwenyewe aliteswa sasa wewe ni nani uishi duniani bila mateso!
hapa kwenye kujitoa sasa ndio mtihani, mtindo wa sasa watu huona fahari kumwaga vyakula huku jirani ambae ni next door hana hata uji ndani
watu tunasomesha watoto shule za 1.8+m lakini hatujawahi kuwaza hata watoto wa majiran zetu wenye hali ngumu tukawanunulia nguo nao wakenda shule wamevaa vizur kwa kua hatuna uwezo wa 1.8+ kwa watoto hao basi tujaribu hata hivi vidogo mtoto aende shule na sare za shule nzuru, viatu na beg ila tuanataka watoto wetu hawa wawe na viatu vya jtatu mpka jmos, mtoto awe na mabegi ya kubadilisha bila kuona huruma hawa wasio na hata moja Hakika mwenyezi Mungu atuongoze
 
Umekwisha hubiria wangapi mpaka sasa? Unalalama tu huna cha kufanya. We kahubiri achana na wengine. Kila mtu atatoa hesabu siku ile kivyake.

Maadamu hakuna aliyelazimishwa, na wao ni watu wazima, na hizo pesa hukuwasaidia kuzitafuta, kelele za nini?
Samahani Mtumishi, Sikuwa na lengo la kuwaharibia.
 
hapa kwenye kujitoa sasa ndio mtihani, mtindo wa sasa watu huona fahari kumwaga vyakula huku jirani ambae ni next door hana hata uji ndani
watu tunasomesha watoto shule za 1.8+m lakini hatujawahi kuwaza hata watoto wa majiran zetu wenye hali ngumu tukawanunulia nguo nao wakenda shule wamevaa vizur kwa kua hatuna uwezo wa 1.8+ kwa watoto hao basi tujaribu hata hivi vidogo mtoto aende shule na sare za shule nzuru, viatu na beg ila tuanataka watoto wetu hawa wawe na viatu vya jtatu mpka jmos, mtoto awe na mabegi ya kubadilisha bila kuona huruma hawa wasio na hata moja Hakika mwenyezi Mungu atuongoze
Kabisa
 
Bila Shaka mleta maada muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?
 
Bila Shaka mleta maada ni muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?
 
Mtoa maada hata hujui unachoongea,habari njema kwako ni ipi? Hivi hujui hata mahubiri ya watu kutoa sadaka ni habari njema
Hivi sadaka moja hutolewa mala mbili Kama ni sadaka ametoa mtoa sadaka iweje aliezipokea hizo sadaka naye fungu la Kumi la hiyo sadaka anakwenda itolea sadaka Tena kumbe hayo matokeo yalikua mapato yake alihimiza wamtolee MUNGU kumbe ndiye kufuru kubwa injili inawaona wafungwa wagonjwa wenye njaa na matatizo mbalimbali Hapo ndipo alipo mungu tuko pamoja?
 
Bila Shaka mleta maada muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?
Omela nashukuru sana umenielewa vema. Kutoa Sadaka na Fungu la 10 ni maagizo yaliyopo kwenye Maandiko na ni wajibu kuyahubiri.

Ila ninachokiona katika maisha ya sasa ya Makanisa yetu ni tofauti kabisa kwasababu hili neno limekuwa linlatumika KAMA KETE .
 
Kwani RC hawana mahubiri ya sadaka huku kwetu padri ametangaza hataki kuona mtu anatoa chini ya elfu moja hataki chenji kwenye sadaka.
Ni sahihi kabisa Kwanini umtolee Mungu chenji Bwana! Toa sadaka iliyonona
 
Toa sadaka mleta mada.
Mbona kuhonga unahonga au kula unakula daily?
Kama hutaki kutoa sadaka basi acha sio kuja kumwaga shombo huku mambo ya kiimani yanaenda kiimani.
Kabisaa hutaki kutoa Acha! Coz hawakulazimishi na bakora! Kwanza ww ukitoa unamtolea Mungu au mwanadamu!? Labda kama unamtolea mwanadamu mwenzetu
 
Wwe ni Mwislamu usidanganye watu😬😬Siku hizi Hawa Waislamu wanaeneza Uvumi kuhusu Wakristo,Wamefundishwa Ugaidi tangu Utotoni na Waarabu
 
Hakuna Dini njema Kama Ukristo,Watanzania musije mukaitikia Dini ya Ugaidi iongezeke kwenu mutajuta⚰️Kama ambavyo Watoto wa Shule Nigeria wanavyotekwa na Magaidi kila siku,Dini la Magaidi🐷
 
Sasa uislam unahusikaje katika maada hii kwani umesikia kuwa waislam hawatoi sadaka kwao.
Kwahivyo Mwandika post Ni Mkristo na Anaaibisha Kanisa hivo,Unaweza aje ongelelea mambo ya Sadaka,ukitoa Sadaka umeshatoa hufai kukiongelelea,Wachia Mungu hapo😬😬
 
Back
Top Bottom