Recent content by OmaryElias

  1. OmaryElias

    Nitaishi hivi hadi lini lini?

    yalinikutb omba yasije yakakukuta
  2. OmaryElias

    Nitaishi hivi hadi lini lini?

    Sijui nimemkosea nin mwenyezi Mungu mimi kama kuna kosa napiga magoti natoa chozi mbele yako nisamehe nitoe kwenye haya mateso. Natoa historia yangu fupi, sina elimu ya uandishi maana elimu yangu ya shuleni ni ndogo. Kwa majina yangu ni Juma Elias Chacha, ni mwenyeji wa Tarime Bomani ndo...
  3. OmaryElias

    Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

    Hat kam ni mim ndo mwisho nioe single mother ndo nin
  4. OmaryElias

    Uganda kimeumana; Mashoga waanza kufukuzwa nyumba za kupanga

    watafanya ila itakua ni kimya kimya sas wakati wananyanduana nani atajua kam kuna mikunjano humo ndani mfan kam madawa ya kulevya yanpgwa marufuk kote dunian ukikamatwa ni kisanga lakin si yanauzwa? watu si wanatumia? Na ushoga uganda itakua hvyo.
  5. OmaryElias

    Uganda kimeumana; Mashoga waanza kufukuzwa nyumba za kupanga

    Sio mwisho wa mashoga watakuwep na wataendelea kuwepo kapeni kama hzo ndo zinachochea ongezeko la ushoga ila watu hawaelew hilo yan hao hawana utofauti na wezi,vibaka mwiz utapga kufa lakin wizi upo palepale cha msing tuwalinde watoto wetu tuwakemee ili wakae kweny misingi iliyo bora
  6. OmaryElias

    Unabeba Pesa kiasi gani ukiwa kwenye matembezi yako?

    yeaa wamestarabika ni watu hawana wivu na na mtu hawan time na wew fanya yako,ukweli nimeon utofaut na maeneo mengne
  7. OmaryElias

    Unabeba Pesa kiasi gani ukiwa kwenye matembezi yako?

    Inategemeana na siku nipo vip lak elf 30 vichej juu maan huku unawez uktembea na milion umeshikilia usipat jam yoyot ya wahuni yan full aman ukipotez ukamjua nan ameiyokot unaipat fresh usipomjua ndo imekula kwako
  8. OmaryElias

    Arusha: Aliyemng'oa jino na kumjeruhi mke wake akamatwa

    Kuna mahal inabdi,dharau zinadiz yeny wakat anampiga hakujua kam atamumiz hvyo hapo alipo anajuta kwanin nilifanya huu ujinga kila mtu ana yake sio we mwanaume kumuon mwanaume mwezetu yamemkut unamuon boya fala hamn ni jambo ambola hat wew linawez likatokea wangapi walipga wakaua hasira sio kitu...
  9. OmaryElias

    Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

    Naomba msaada kuna series nadhani ni ya kikorea niliicheki sehemu flan kwa sabab ya mazingira sikuwez kujua jina la hyo series ni ya doctor jina la huyo doctor ndo jina la hiyo season nakumbuk baadhi ya matukio huyo doctor alikuwa anafanya kazi kwenye hosptal akiwa kwenye shughuli zake mara...
Back
Top Bottom