kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,879
Kweli nimeamini Uganda hawana utani kabisa, kampeni takatifu ya kuwafyeka mashoga imeanza kwa kasi ya 5G
Wenye nyumba wameanza kuwatimua mashoga kwenye nyumba zao kwasababu sheria iko wazi kabisa ukimpangisha shoga na wewe unafyekwa jela
Nimeamini Rais Museveni akisema huwa anamaanisha jamaa kweli ni kiboko ya Mashoga na wasagaji
Wenye nyumba wameanza kuwatimua mashoga kwenye nyumba zao kwasababu sheria iko wazi kabisa ukimpangisha shoga na wewe unafyekwa jela
Nimeamini Rais Museveni akisema huwa anamaanisha jamaa kweli ni kiboko ya Mashoga na wasagaji